- Thread starter
- #21
Poa nitacheza kwenye hiyo amount si unajua hapa bongo ukiwa ujui bei ya vitu vizuri utapigwa kisawasawaIt depends, but minimum cost is 30k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa nitacheza kwenye hiyo amount si unajua hapa bongo ukiwa ujui bei ya vitu vizuri utapigwa kisawasawaIt depends, but minimum cost is 30k
Zipo za aina nyingi kila moja na bei yake nenda ig andika ECLAT OIL Mcheck huyo anayoPoa nitacheza kwenye hiyo amount si unajua hapa bongo ukiwa ujui bei ya vitu vizuri utapigwa kisawasawa
Usiulize tu Bei; uliza na aina bora. Hii nchi vitu fake viko vingi tu!Asante sana hivi wanauza kiasi gani hiyo sunscreen?
Asante sanaZipo za aina nyingi kila moja na bei yake nenda ig andika ECLAT OIL Mcheck huyo anayo
Mkuu samahani nimechelewa kuona hii post yako, kiukweli sio mbobezi saaana ila ni mdau.Habari wanajf
By the way mimi ni mweupe Ndio rangi yangu halisi Ila rangi yangu ya uso imebadilika nimekuwa maji ya kunde lakini sehemu zote zilizobakia rangi yangu imebaki Ile Ile nyeupe so ningeomba mnitajie lotion au mafuta sahihi ya kurudisha ngozi yangu
Nifah njoo unisaidie hapa kwenye hii sector yako
Asante sana mamiiMkuu samahani nimechelewa kuona hii post yako, kiukweli sio mbobezi saaana ila ni mdau.
Fuata ushauri aliokupa ephen_ kwa kuanzia.
Zingatia, sunscreen utakayochukua ianzie SPF 50+, actually hiyo ndio standard bora. Ukiona inauzwa bei rahisi chini ya 30K achana nayo, nzuri bei zinarange 50K na kuendelea, hata hiyo 30 sio mbaya.
Sunscreen ni kitu cha msingi, hutakiwi kuacha kuitumia hata utakapopona tatizo lako.
Fanya hivyo utanifahamisha matokeo tujue cha kufanya baada ya wiki mbili.
Haaaaa jamani vibaya hivyo. Jamaa huwa tunasigana kwenye thread nyingine sikutegemea kuniomba ushauri sensitive hivi.Ningechangia ila kwakuwa mwajuana kwa vilemba vyenu inabidi ninyamaze kimyaaaa
🙏👍Haaaaa jamani vibaya hivyo. Jamaa huwa tunasigana kwenye thread nyingine sikutegemea kuniomba ushauri sensitive hivi.
Tumsaidie.
Nenda kwenye pharmacy au supermarkets za kuelweka ambazo wanakuwa washaweka price tag kwenye stuffs zao hapo inakuwa hakuna kupigwa. Tumia na vaseline petroliumjelly ukilala jipakePoa nitacheza kwenye hiyo amount si unajua hapa bongo ukiwa ujui bei ya vitu vizuri utapigwa kisawasawa
Asante mamiiNenda kwenye pharmacy au supermarkets za kuelweka ambazo wanakuwa washaweka price tag kwenye stuffs zao hapo inakuwa hakuna kupigwa. Tumia na vaseline petroliumjelly ukilala jipake
Asante sana mamiiTumia sunscreen ni jua hilo
Ajaribu derma b sunscreen ni ya all skin types, haiachi weupe usoni. Ndio naitumia, inakufanya uwe na rangi nzuri. Pia atumie vitamin c moisturiser kwa ajili ya kungarisha ngozi yake. Derma B nilinunua 60kMkuu samahani nimechelewa kuona hii post yako, kiukweli sio mbobezi saaana ila ni mdau.
Fuata ushauri aliokupa ephen_ kwa kuanzia.
Zingatia, sunscreen utakayochukua ianzie SPF 50+, actually hiyo ndio standard bora. Ukiona inauzwa bei rahisi chini ya 30K achana nayo, nzuri bei zinarange 50K na kuendelea, hata hiyo 30 sio mbaya.
Sunscreen ni kitu cha msingi, hutakiwi kuacha kuitumia hata utakapopona tatizo lako.
Fanya hivyo utanifahamisha matokeo tujue cha kufanya baada ya wiki mbili.