Nataka nitoke na binti niliyemwajiri. Kwa wale mliowahi kutoka na mabinti mliowaajiri kwenye maduka au ofisi zenu, hii itaathiri ufanisi wa kazi?

Mkuu,una mke au familia?Je unataka upite nayo tu ,Je ukimtazama unamuona ana nafasi katika maisha yako yaani chemistry.

Kumbuke Mwanaume na Mwanamke mnapoamua kuengage kwenye sex kila mmoja anakuwa amempa mwenzake mamlaka fulani na iwapo utanogewa inaweza kuwa na faida au hasara.

Ila kabla ya yote elewa kwamba anaweza kuwa mwenza wako au anguko lako.Na kwa hatua mliykfikia ya kupeana wadudu wa mdomoni hata ukiendelea au ukisitisha bado effect itakuwepo kwa sbb kwa huyo binti inawezekana amejitoa kwako kwa upendo au kwa sbb we ni boss..Either way... THINK
 
So nimepata binti hapa ofisini kwangu niliemwajiri takribani miezi miwili kwa sasa na chemistry zetu zimefanan yani tumezoeana.

Binafsi nipo kwenye 28 binti yupo kwenye 19 flani hivi ambae kiukweli ni binti mwenye ufanisi mkubwa wa kuuza.
Baada ya muda unamzalisha halafu unakuja kumnanga na kumwita single maza
 
Yaani kuwa na fake id. Raha sana😂😂😂pata picha mwamba angekua na id real. Alafu anatoa stry hii. Tunaenda kumsaka instagram au efubiii😂😂😂😂. Ww gonga ila asiingilie misingi ya biashara. Huyo si baby. Mnapasha tu kiporo
 
chelewa chelewa utasikia anakamuliwa na kijana wa fremu ya jirani hapohapo na kwako.mda wa kumtafuna ndio huu.

fanya kama marehemu ruge, akina linah sanga na nandy aliwatafuna mapema kabla hajawatengezea mazingira ya kuwa watu maarufu. wakiwa maarufu wanakuwa majeuri.

huyo wa kwako akipata kakijana kanaendesha bodaboda ataanza kukujeuria. mda wa kumalizananae ni sasa.

sorry for my gangster solid advice. it's what it's.
 
Mlale kama boss wake usimlale kama mpenzi wake

Mega kama tunavyomega ma-house girl pale nyumbani

Cha muhimu hakikisha heshima inabaki yeye kama mfanyakazi na wewe boss wake
 
Kila jambo ufanyalo hapa duniani lina hesabu zake sasa je? Hmepiga hesabu zako vizuri umri ulionao sio wa kucheza na biashara kawaida rizki nzuri huja mara moja ikishatoka utabaki unatapatapa tu. Ila mle huyo demu alafu ongeza mtaji kwenye biashara yako utakuja kunishukuru kwa faida utakayopata
 

Acha kutisha watu,k tunato..mba na hela tunatengeneza,acha akili za kimasikini.
 
Usithubutu kuchanganya mapenzi na kazi utajutraaaaa ndugu,mwambie kilichotokea ilikuwa bahati mbaya kisijirudie tena vaa sura ya kikauzu
Ukishikwa na nyege bora ukapige punyeto kuliko ulichotaka kukifanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…