Nataka nitoke na binti niliyemwajiri. Kwa wale mliowahi kutoka na mabinti mliowaajiri kwenye maduka au ofisi zenu, hii itaathiri ufanisi wa kazi?

Hiyo biashara byebyeeee
 
Siku za mwisho maarifa yataongezeka sana.

Yaani mtu anaomba ushauri namna ya kuzini toka kwa wazinifu wabobevu. Daaah

Lord have Mercy on us!
 
Kama utatembea naye, hakikisha unamtengenezea naye maisha ili aweze kuisimamia biashara yako vizuri.
Usipomtibu wewe, watamtibu wengine na si ajabu hela za duka lako zikawa zinaenda kuhonga nje.​
 
Ohoo nimekumbuka kitabu cha Passed like a shadow ,Adyeri and his concubine Birungi,Adyeri alichofanyiwa sio poa ndicho kitakachotokea kwako mkuu
 
Kama bado unapenda hiyo biashara fukuza huyo binti ukamlie nje, ila kama biashara huipendi kula huyo demu biashara ife
 
Kama unataka kufilisika jumla, mvue chupi na kum..... huyo dada ndani ya ofisi/biashara yako na utakuwa UMEINAJISI BIASHARA to the maximum na mikosi ya kila aina utajaiona.
Hapo wamenajisi nusuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€­
 
Vip akiendelea kusimamia biashara yako vyema ila ukagundua ana chepuka na wanaume/wateja utavumilia?

Kajitambulishe utoe posa ikiwezekana vuta jiko ndani..muijenge biashara na familia.
 
Daah utafunga duka sasa hv
 
Oa ili mkifunga biashara akipata boss mpya amshikeshike apige. Binti mwenyewe mzinzi tu huyo....kumgusa tu imo.
Oa uje ulie kwamba umegongewa na house boy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…