Nataka nitoke na binti niliyemwajiri. Kwa wale mliowahi kutoka na mabinti mliowaajiri kwenye maduka au ofisi zenu, hii itaathiri ufanisi wa kazi?

Khaaa me mdogo angu alivomaliza form 4 ety anakasema kabla matokeo hayatoka anataka afanye kazi kweny duka sijui la nin nin, Nikamuuliza una nyege sana?
Akasema basi siendi tena.
 
Hiyo biashara itakufa chap na atakayeongoza kuiua wala siyo huyo binti bali ni wewe.
 
Kama una akili mle mzigo kuweka heshima ukimaliza muachishe kazi kuokoa biashara, ukishindwa Kama hujaoa muoe kabisa awe mke weka ndani...

Sasa shauri yako
 
Hatujaongea chochote hadi sasa maana huwa naenda tu kucheki hesabu mida ya jioni.

Hapa inakuwaje wakuu katika kubalance mzani wa mapenzi na biashara katika angle ya binti, Je nikimla ataweza kuendelea na kazi kama kawaida ? au nipotezee kabisa?
 
Umesahau na zamaradi TV.
 
Huyo muoe kabisa mkuu; kaingia kingi. Unakwama wapi?
 
Ndugu usijaribu… uboss utaisha, ataanza kukuona mwenzake. Ataiona ofisi kama ana share nayo
Utashindwa kumkoromea akiharibu kazi… yan utakoma

Ila akiwa na akili naye hatoleta mahaba kazini..ila kakikosa akili jiandae kuisha
Kwanza hapo ameshaharibu.

Muondow haraka mtoto wa watu hapo akatafute maisha kwingine. Weka mwingine.
Otherwise kama utachagua kuacha tabia uliyoanza...anza kuwa mkali kwa makosa madog dogo. Yaani uwe kama mbogo kumkapia hapo utaigizantu asione ushamla mate na kitendo cha kula mate tayari ashakutathimini 90% kwamba wrwe ni mchovu. Akikosea tu atakuonesha chuchu utatuliq.

Mim niliapply hii mbinu. Baada ya kugundua bint sio mtamu. Nilikaripia kwa kila kosa hata dogo la kusamehe.

Alinyooka na kaz ikaendelea
 
Utaaribu kazi
 
kwanza hujasema kama umeoa,ambacho ndio kitu muhimu,kinachoweza kunipa points za kukujibu
 
It's tricky, kwa sababu mimi nili kuwa na biashara yangu ya nguo za kiume. Demu alikuwa wa kawaida mwanzoni ila ana kama miaka 21. Ila siku zilivyo zidi kwenda akazidi kupendeza na kunawiri, halafu anajilegeza alma nusura nipige, nikasita sana nikaona kazi na mauzo itakuwa balaa. Si akaja kumpea jamaa wa duka la pembeni yetu. Unakuja mara yuko dukani kwa huyo jamaa, mara jamaa yuko huko ndani kabisa ya duka letu mara una mkuta jamaa kavaa zile T-shirt, hela yake iko wapi hamna majibu. Nikaona sasa ngoja nimpige Benchi. Kakaa kwao huko kumbe mjamzito familia yao inanijia juu mimi wakidhani ni muhusika mkuu, kisa mimi ndo nilimchukua kwao
 
Hapo umeamua kubinafisisha biashara yako kwa papuchi
Kubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…