Baada ya kuona wanaodhihaki kazi nzuri aliyoifanya Hayati JP Maguli iliwemo miradi mikubwa ,kutufikisha uchumi wa kati ,kutatua shida za wanyonge waliyokuwa wamedhulumiwa haki zao,kupambana na rushwa nk nataka wazalendo tuunde chama ambacho misingi yake itakuwa ya uzalendo uliyoonyeshwa na Hayati Baba wa taifa JK Nyerere na Hayati JP Magufuli.
Chama hiki kitapamabana na CCM mafisadi wanaojaribu kuonyesha kuwa Hayati JP Magufuli hakufanya kitu (wanabweka baada ya Simba kufa) na upinzani uchwara uliyekosa ajenda na kudandia kushabikia kifo cha JPM.
Wazendo naomba jina la chama hicho kipya tafadhali.
Chama hiki kitapamabana na CCM mafisadi wanaojaribu kuonyesha kuwa Hayati JP Magufuli hakufanya kitu (wanabweka baada ya Simba kufa) na upinzani uchwara uliyekosa ajenda na kudandia kushabikia kifo cha JPM.
Wazendo naomba jina la chama hicho kipya tafadhali.