Nataka niunde chama ambacho kitawaenzi hayati Baba wa Taifa JK Nyerere na hayati JP Magufuli

Nataka niunde chama ambacho kitawaenzi hayati Baba wa Taifa JK Nyerere na hayati JP Magufuli

Mim
Baada ya kuona wanaodhihaki kazi nzuri aliyoifanya Hayati JP Maguli iliwemo miradi mikubwa ,kutufikisha uchumi wa kati ,kutatua shida za wanyonge waliyokuwa wamedhulumiwa haki zao,kupambana na rushwa nk nataka wazalendo tuunde chama ambacho misingi yake itakuwa ya uzalendo uliyoonyeshwa na Hayati Baba wa taifa JK Nyerere na Hayati JP Magufuli.

Chama hiki kitapamabana na CCM mafisadi wanaojaribu kuonyesha kuwa Hayati JP Magufuli hakufanya kitu (wanabweka baada ya Simba kufa) na upinzani uchwara uliyekosa ajenda na kudandia kushabikia kifo cha JPM.

Wazendo naomba jina la chama hicho kipya tafadhalMimi

Baada ya kuona wanaodhihaki kazi nzuri aliyoifanya Hayati JP Maguli iliwemo miradi mikubwa ,kutufikisha uchumi wa kati ,kutatua shida za wanyonge waliyokuwa wamedhulumiwa haki zao,kupambana na rushwa nk nataka wazalendo tuunde chama ambacho misingi yake itakuwa ya uzalendo uliyoonyeshwa na Hayati Baba wa taifa JK Nyerere na Hayati JP Magufuli.

Chama hiki kitapamabana na CCM mafisadi wanaojaribu kuonyesha kuwa Hayati JP Magufuli hakufanya kitu (wanabweka baada ya Simba kufa) na upinzani uchwara uliyekosa ajenda na kudandia kushabikia kifo cha JPM.

Wazendo naomba jina la chama hicho kipya tafadhali.
Nipo tayari kujiunga
 
Baada ya kuona wanaodhihaki kazi nzuri aliyoifanya Hayati JP Maguli iliwemo miradi mikubwa ,kutufikisha uchumi wa kati ,kutatua shida za wanyonge waliyokuwa wamedhulumiwa haki zao,kupambana na rushwa nk nataka wazalendo tuunde chama ambacho misingi yake itakuwa ya uzalendo uliyoonyeshwa na Hayati Baba wa taifa JK Nyerere na Hayati JP Magufuli.

Chama hiki kitapamabana na CCM mafisadi wanaojaribu kuonyesha kuwa Hayati JP Magufuli hakufanya kitu (wanabweka baada ya Simba kufa) na upinzani uchwara uliyekosa ajenda na kudandia kushabikia kifo cha JPM.

Wazendo naomba jina la chama hicho kipya tafadhali.
Tuanze kubuni jina
 
Baada ya kuona wanaodhihaki kazi nzuri aliyoifanya Hayati JP Maguli iliwemo miradi mikubwa ,kutufikisha uchumi wa kati ,kutatua shida za wanyonge waliyokuwa wamedhulumiwa haki zao,kupambana na rushwa nk nataka wazalendo tuunde chama ambacho misingi yake itakuwa ya uzalendo uliyoonyeshwa na Hayati Baba wa taifa JK Nyerere na Hayati JP Magufuli.

Chama hiki kitapamabana na CCM mafisadi wanaojaribu kuonyesha kuwa Hayati JP Magufuli hakufanya kitu (wanabweka baada ya Simba kufa) na upinzani uchwara uliyekosa ajenda na kudandia kushabikia kifo cha JPM.

Wazendo naomba jina la chama hicho kipya tafadhali.
Vipi kwani lumumba hamumuenzi jiwe?
 
Baada ya kuona wanaodhihaki kazi nzuri aliyoifanya Hayati JP Maguli iliwemo miradi mikubwa ,kutufikisha uchumi wa kati ,kutatua shida za wanyonge waliyokuwa wamedhulumiwa haki zao,kupambana na rushwa nk nataka wazalendo tuunde chama ambacho misingi yake itakuwa ya uzalendo uliyoonyeshwa na Hayati Baba wa taifa JK Nyerere na Hayati JP Magufuli.

Chama hiki kitapamabana na CCM mafisadi wanaojaribu kuonyesha kuwa Hayati JP Magufuli hakufanya kitu (wanabweka baada ya Simba kufa) na upinzani uchwara uliyekosa ajenda na kudandia kushabikia kifo cha JPM.

Wazendo naomba jina la chama hicho kipya tafadhali.
Huo mseto haupo maana hata itikadi zao haziendani

Chama cha huyo mwingine kiite SUKUMA GANG
 
Unapoteza muda tafuta kazi ya maana ufanye! Wengi tunakubali kuna mazuri mengi Hayati JPM amelifanyia Taifa hili kama vile viongozi waliomtangulia.

Ila ukweli ni kwamba kuna mambo mengi pia ya hovyo Hayati JPM alifanya katika uongozi wake ambayo ni lazima yarekebishwe kwa ustawi wa Taifa letu!
Jamani mkome kumlinganisha Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere na Hayati Magufuli.Nyie Sukuma gang Hayati Magufuli hamfikii hata Kiduchu Mwalimu Nyerere Wala Hayati Kawawa wala Hayati Karume.Labda wewe uliyeandika upuuzi huu wa kuwalinganisha ulikuwa bado hujauumbwa.Dont write non sense in this best forum in East and Central Africa (JF.)Ujinga wenu huu uandikieni kwenye vijimitandao vya mitaani.Nawashauri moderators wa Jamii Forum wablock habari kama hizi ambazo ni Non sense.
 
Tutawapiga kipigo cha mbwa koko! Hatutaki laana kwenye nchi yetu.

Kumtambua jiwe kama baba wa Taifa ni sawa na kuyatambua mavi kama chakula
 
Nireteeni Gwajima
Nireteeni Gwajimaa
Nireteeni Gwajimaaaaa
Nireteeni Gwajimaaaaaaaaaa
Nireteeni Gwajimaaaaaaàaaaaaaaaaaaa.

Nchi hii ilikuwa kwenye mikono hatari sana
 
Back
Top Bottom