Nataka niunde chama ambacho kitawaenzi hayati Baba wa Taifa JK Nyerere na hayati JP Magufuli


Ukweli mchungu huwezi waenzi Nyerere na JPM at the same time.

Wawili hawa walikuwa tofauti mno.

Nyerere asingemvumilia JPM hata kidogo.

Nyerere unamfahamu au unamsikia?
 
Makao Makuu yatakuwa Chato au Bujumbura?
 
Katika kuamua jina la chama utakachounda, ni vizuri ukazingatia maneno ambayo marehemu walipendelea kuyasema, mfano chama cha wanyonge, chama cha mabeberu, chama cha uhujumu uchumi, chama cha majizi na wapiga diriii...kila la heri mkuu,
 
Vipi tena Kwanini asiwe Baba yako instead of Nyerere and Maguful... kama unawataka hao kuwaenzi ni kuingia kwenye chama walivyopitia na sio vipya... Hii inakuwa kama Yesu wa Dini ya Myahudi, watu wakasema wamuenzi kwa kuanzisha Dini Mpya nyakati hizo ya Ukristo... they are so wrong... and your wrong! because your choosen wrong path. hii ni fact.
 
Katika kuamua jina la chama utakachounda, ni vizuri ukazingatia maneno ambayo marehemu walipendelea kuyasema, mfano chama cha wanyonge, chama cha mabeberu, chama cha uhujumu uchumi, chama cha majizi na wapiga diriii...kila la heri mkuu,
[emoji1] chama cha wanyonge na wapiga dilii litapendeza saana
 
Hicho chama kitakua ni cha wewe na familia yako sasa!
 
Kwenye hayo majina mmoja ni hayati nyerere na mwingine ni mr magufuli, hastahili hata kuitwa hayati.
 
Ruksa kuwaenzi ila falsafa zao ni outdated kwa ulimwengu wa Sasa.Zilifaa miaka ya 70 0
 
UNACHOHITAJI NI ITIKADI ITAKAYOKUBALIKA KWA WAPIGA KURA NA KIVITENDO!
... MWINGINE HUO NI UPUUZI!
 
Acha kumfananisha nyerere na upuuzi mwingine.
 
Jiwe dictatorship party( JDP)
 
Hata hilo ni wazo hata kama halina mashiko.
 
Mwandishi: Wakati unamfanya àlikua akisemaje?

Mhe: (Huku Katumbua Macho) Alikua Akisema Gwajima Baaasiii.... Gwajima Inatosha.... Gwajima unanikomoaaa... Gwajimaa kesho pia ni siku na ina ngare zake!


Mwandishi: Unawazungumziaje wanaokuponda mitandaoni?

Mhe: Ni wivu tu!!

Mwandishi: Lakini inaonekana ulirecord kwa makusudi, ulitaka kuionyesha nini
dunia?

Mhe: Nilitaka kuwaonyesha walimwengu kwamba "Kuzaa Mimi nazaaaa"



"Naskia kelele hizoooooooooo, kuuliza kuna nini -mchungaji kafumaniwa!!"= Alisikika muimba singeri mmoja.

"Nireteeni Gwajima.... Nireteeni Gwajima... Msinichanganyie betri na magunzi, torch haitowaka" = Ilisikika sauti kutoka kuzimu.

NB:
Viva SUKUMA GANG..... Viva MATAGA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…