Nataka niwe maarufu jamani.. Nifanyeje??

Nataka niwe maarufu jamani.. Nifanyeje??

Mke Bwaxx wazeiyaa
(nilivosema wazeiyaa nikakumbuka zile mixtape za Virus za mzee sugu wakat anawaponda Mawingu FM RADIO ya wafu)

Anyway, hao walikua wadhamini wa habar za mchezo ( Simaanishi Sports HQ ya 93.7 FM kwa Maulid Kitenge)

Sasa ni hivi mazee....
Main topic ni kuwa
NATAKA NIWE MAARUFU HUMU JF.

Niwe famous kama kina
Faizafoxy
Mshana JR (mzee wa story za uongo)
The Boss
Nyani Ngabu
Heaven sent
Mwajuma mchawi
Mzizi mkavu (mzee wa nguvu za kiume, kila uzi wa PE na nyeto humkosi, cjui jamaa ana PHD ya haya mambo)

Tuendelee....
Myname is myname..
Na yule mdada kweny avatar yake kuna mdada kachuchumaa kavaa kichupi halaf kashika bunduki..

Na wengne wengi..

Sasa jamani nitumie njia gani??

Maana mwanzo nilisema nitumie njia ya MATUSI...
Yaan kila mara na post threads za MATUSI tuu...
Nafungua kila uzi then na comment MATUSI tuu bila kujali topic Husika..
Tatizo nikawa napigwa BAN..

Nishaurini jaman Namie nataka watu wawe WANANI TAJA TAJA HUMU..

CJAWAHI KUONA mtu kanitaja humu..
Ushaur tafadhal....
Kakojoe Ukuta wa Ikulu..
 
Kuna msemo mmoja wa kiarabu unasema "KHAALIF TU`URAFU wakimaanisha " NENDA KINYUME NA UTARATIBU ILI UFAHAMIKE " So na wewe ukitaka kuwa maarufu fanya kitu ambacho Wana JF wote watashtuka!!
 
Release sex tape yako kama Chyna. Kama ni ke hakikisha unajua kutuma salamu sio uwe mzembe kama China kama ni me uwe active kidogo sio ulale kama maiti. Hakika utakua maarufu
 
Jiteke, Kisha jile tiGO, Tafuta mtu atangaziwe uharibifu wa marinda yako ulofanyiwa.

Hiyo ikifeli basi post ua jeusi
 
Release sex tape yako kama Chyna. Kama ni ke hakikisha unajua kutuma salamu sio uwe mzembe kama China kama ni me uwe active kidogo sio ulale kama maiti. Hakika utakua maarufu
Kutuma salamu=kunyonya dushe,
Au sijakuelewa mkuu....
 
Back
Top Bottom