Nataka niwe mke wa pili

Mi sijasema ni mdhaifu, nimesema nataka kuolewa mke wa pili!
bibie wasikuzingue, maamuzi ya mtu yatokayo moyoni kisha kinywani, ni ya ukweli dhahiri !! endapo tu wewe kweli ni mwanamke. na hitaji lako ni halisi. kila la kheri.....!!
 
Umri unahusianaje na mtu kuwa mke wa pili? Unamaanisha mtu kuwa mke wa pili ni kukosa kabisa mume wa peke yake?
mtu anaanzaje kufikiria kuwa mke wa pili kama amepata wake mwenyewe? ukiona hivyo ujue kakosa wake mwenyewe na anatamani apate hata wa mtu hiyo inaitwa tutabanana hapahapa.
 
Njoo kwangu vigezo na masharti na mudu. Mke ninaye na pia degree moja ninaye
 
Hongera sana kwa uamuzi wako,wengi hudanganya lakini wanazalishwa na Waume za watu.Bora wewe umeweka wazi kabisa unataka kuwa mke wa pili.Ningekuwa bado sijaongeza wa pili ningekutafuta kwa hali na mali.
 
Me vigezo vyote nimetimiza and my wife wangu ameridhia...tuonane pm...
 
Njoo PM, umri bado unakuruhusu unimiliki pekee.
Njoo tuyaanze ya kwetu.
 
Kila la kheri
 
Duh mkristo ndoa ya ukewenza hii mbona ni maajabu ya dunia yanazidi kuongezeka
ok sawa wacha tusubiri maana hata ndoa ya jinsia moja imeanza ktk baadhi ya makanisa kutambulika
 
Umemaliza kulipa mkopo lkn? je vyeti vyako sio feki? nitakutafuta km utanijibu hayo maswali kwa usahihi.
 
 
Wakristo mnaruhusiwa ndoa zaidi ya mke mmoja?

Si useme unataka kuwa mchepuko tu.
 
Umejitahidi Kunivutia ila Ngoja nifikirie kwanza mrembo maana huyu wife anaweza nipiga mwiko wa uso bure!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…