Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Hapana mkuu ujue kuna aibu na kutojiamini ni vitu viwili tofauti kabisa.Confidence ndo kinyume cha aibu!
Kwaiyo haimaanishi nina aibu hizo wewe unazofikiria ww hapana
Sasa kuna ambao hawana aibu ! ili mradi tu anachokiamini ndicho hichoHapana mkuu ujue kuna aibu na kutojiamini ni vitu viwili tofauti kabisa.
Mfano wewe unatakiwa kupresent kitu fulani ambacho hukijui kiundani na ukawa unaendwa kwa kutetemeka, unaongea kwa kigugumizi nk (ipo sana kwenye presentation chuoni), hapo unakua hujiamini ila sio kua una aibu.
Upo ukweni, huwezi toka na boxer mbele ya mama mkwe litakua ni jambo la aibu.
Hata uwe na confidence namna gani kuna mambo huwezi kufanya kwasababu ya aibu, lakini mengi utafanya kwasababu unajiamini.
Ushaona Shilole anaongea English na anajua hawez na haoni aibu anaongea ivo ivoHapana mkuu ujue kuna aibu na kutojiamini ni vitu viwili tofauti kabisa.
Mfano wewe unatakiwa kupresent kitu fulani ambacho hukijui kiundani na ukawa unaendwa kwa kutetemeka, unaongea kwa kigugumizi nk (ipo sana kwenye presentation chuoni), hapo unakua hujiamini ila sio kua una aibu.
Upo ukweni, huwezi toka na boxer mbele ya mama mkwe litakua ni jambo la aibu.
Hata uwe na confidence namna gani kuna mambo huwezi kufanya kwasababu ya aibu, lakini mengi utafanya kwasababu unajiamini.
Da vinci wa twitter😂😂😂kama ni ww duuh We jamaa una mdomo !! you are real shameless yaan ww uko meza moja na kila Lokole,dudubaya,mwijaku na gigi moneyUlivyonichongea nikapigwa ban uliona raha eeh...
Yeye ana confidence mkuu na sio kua shilole hana aibu!! Kuna vitu nae hawezi kufanya coz anaona haya/aibu.Ushaona Shilole anaongea English na anajua hawez na haoni aibu anaongea ivo ivo
Hii ni best comment everkuna gharama zake pia, weigh then amua tu, kila jambo lina mwanzo wake, kama si lako step za awali tu zitakunyima usingizi usiku wote kwa majuto, ukifanikiwa kushinda majuto basi umeweza.
Kuna staff mwenzetu nafanya nae kazi yaani huyu ni shameless. Jamani daah yaan uwiiii huyu ni mbwa nyie. Yaani type za kina Gig Money au Shilole. Si kwa ubaya lakini najaribu kuonesha tabia yake.
Mwanzo nilikuwa naona kama hazimo vile si unajua muungwana lazima uwe na aibu si kwa huyu staff!
Bahati nzuri au mbaya nikaja baadae kua supervisor wake. Nilimchukia sana kutokana na tabia yake na uwezo wake mdogo kufanya mambo technical. Kifupi si mtu smart sana lakini ni shameless elewa neno SHAMLESS.
JINSI NILIVOANZA KUVUTIWA NA HII TABIA
Kazi yangu hiyo niliyokua nafanya ilitemea watu na ushawishi wa watu na kuweza kujuana na watu tofauti tofauti kwa wakati mfupi na kuanzisha nao mahusiano ya kazi kisha waweze kutaka huduma ambazo tunazitoa.
Kifupi ilikua inahitaji akili lakini pia ilihitaji hulka au kariba ya kuweza kuwaface watu, kuongea nao na kuwashawishi kifupi si kazi rahisi kwa mtu mwenye aibu au asiyeweza kuzoeana na mtu fasta na mchangamfu.
Hivo kati ya watu 10 niliokua nikiwasimamia ikaja kuonekana huyu shameless (Jina kapuni) ndiye mwenye perfomance nzuri kuliko wote pamoja na mazingira magumu na sababu lukuki wenzie walizokuwa wanatoa ila yeye matokeo yalikuwa mazuri.
Hivyo mambo yakageuka nikajikuta namtegemea kwenye kuninyooshea mambo na kunisafishia CV yangu ya kazi. Kwa ambao washafanya kazi za makampuni utaelewa kwamba kazi zinategemeana Wajuu anamtegemea wa chini hivo kama wachini wanakuangusha naww hamna lolote utalokua unaonekana unafanya.
LAKINI KWANINI KUA SHAMELESS NI MUHIMU?
Katika kujifunza funza nikaja kukutana na hiki kitu. Cheki hapa chini
Kuna kitu inaitwa Vibration Energy hii Tunaishi nayo kila kitu kinatoka ndani. Katika Energy chanya ndio kuna Amani, Kukubaliana na hali, Upendo nk, Na Energy Hasi ndo kuna Aibu, Kujihukumu, Woga, Majonzi na hasira. Kama unajua kashule kidogo waweza fatisha uo mchoro.
Hivo bas kua na aibu, hasira, Hamu, Kujivuna kujisikia si Hali ambayo binadamu ameumbiwa ni hali ambayo huleta uharibifu na kuzuia mafanikio ya mtu nikiongelea mafanikio simaanishi pesa au vitu vya kushikkiaka.
Baada ya hapo ndipo nilipoona Kua asiye na aibu si mwehu ila yuko level nyingine ya maisha tena level ya juu. Hapa hatumaanishi kujitoa akili kufanya maovu, no.
Ni kufikiria mambo mangap umeyakosa au umefeli kutokana na kuhofia watu wanachowaza au watakuonaje au kuwaonea aibu. Vitu vingap umevikosa kutokana na hasira kujiona na kujisikia? Jibu unalo mwenyewe.
***********************************
LEo hii Nimeacha kazi pale kama miaka mitatu lakini Sina namba za wote tumepotezana nao lakinI guess what Ni namba yake huyu mtu SHAMELESS. Baadae nilivutiwa sana na hii hulka yake ningekua nayo hii ningekua mbali sana.
Nataka nijue nawezaje kuwa SHAMELESS?
Situmii Twitter mkuuDa vinci wa twitter😂😂😂kama ni ww duuh We jamaa una mdomo !! you are real shameless yaan ww uko meza moja na kila Lokole,dudubaya,mwijaku na gigi money
Maanayake ni kupiga pipe bila kifurushi...😜shameless maana yake nini wakulungwa?
kuna watu wana matatizo ya akili na wako wamevaa suti wanaingia kazini
Kuna mtu twitter anajiuta hili jinaSitumii Twitter mkuu
kumekuchaaa kumekuchaaaMaanayake ni kupiga pipe bila kifurushi...😜
eUsitake kuwa kama mtu mwingine maana tunatagemeana, umemwona anafaa maana hana ulicho nacho na wewe huna alichonacho, kila mtu awe kama alivyojaliwa.
Had nimeishiwa point lakini mkuu…
Ngoja kwanza kwan kutaka kua kama mtu ni vibaya??
Hamornize alitaka awe kama diamond na sasa amemzidi kabisa boss
Nandy alitaka awe kama ruby saizi kamfunika kabisa
China ilitaka kua kama US saizi iko no2 ni suala la muda
Mi nadhani hakuna ubaya kutaka kuwa kama mtu fulani
e
Unachoongelea sio kujiamini? Sielewi unaposema shameless unamaanisha anafanya mambo ya kijinga na hajali au bi kujiamini na kukutana au kuongea na yeyote akifanya biashara au kazi yake.Kuna staff mwenzetu nilikua nafanya nae kazi yaani yeye ni shameless. Si kwa ubaya lakini najaribu kuonesha tabia yake.
Kuna watu ambao ni shameless huwezi msema kwa lolote akadharirika au akabika.Hawa wamejitengenezea immunity haogopi,Hajali watu wanasema nini,Hajali wanafikiri nini ili mradi anachokitafuta anakijua na kukiamini yeye humtoi kwenye Reli.
Hizi personality zipo kwene Sanaa kama vile kina. Mwijaku,Baba levo,Juma lokole,Shilole ,mange kimambo na gigy money na wengine wengi ambao sijawataja hapa
Pia wamo kwenye siasa pia tunawajua Wao huwa hawachafuki wala hawachafukiki na kulingana na tabia alojitengenezea bas Tabia zimekua zikiwabeba hata linapotokea jambo hamna mtu anajisumbua kuamini au kuliongelea kwa muda mrefu kwasababu inakua si habari maana raha ya vita adui aumie na ujue kua limemchoma.
TURUDI KWENE MAADA….
Mwanzo kabisa nilikuwa naona kama mtu wa hivo labda hazimo au yuko 9 kasoro ni vile si unajua muungwana lazima uwe na aibu ila si kwa huyu staff!
Bahati nzuri au mbaya nikaja baadae kua supervisor wake. Nilimchukia sana kutokana na tabia yake na uwezo wake mdogo kufanya mambo technical. Kifupi si mtu smart sana lakini ni shameless elewa neno SHAMLESS.
JINSI NILIVOANZA KUVUTIWA NA HII TABIA
Kazi yangu hiyo niliyokua nafanya ilitemea watu na ushawishi wa watu na kuweza kujuana na watu tofauti tofauti kwa wakati mfupi na kuanzisha nao mahusiano ya kazi kisha waweze kutaka huduma ambazo tunazitoa.
Kifupi ilikua inahitaji akili lakini pia ilihitaji hulka au kariba ya kuweza kuwaface watu, kuongea nao na kuwashawishi kifupi si kazi rahisi kwa mtu mwenye aibu au asiyeweza kuzoeana na mtu fasta na mchangamfu.
Hivo kati ya watu 10 niliokua nikiwasimamia ikaja kuonekana huyu shameless (Jina kapuni) ndiye mwenye perfomance nzuri kuliko wote pamoja na mazingira magumu na sababu lukuki wenzie walizokuwa wanatoa ila yeye matokeo yalikuwa mazuri.
Hivyo mambo yakageuka nikajikuta namtegemea kwenye kuninyooshea mambo na kunisafishia CV yangu ya kazi. Kwa ambao washafanya kazi za makampuni utaelewa kwamba kazi zinategemeana Wajuu anamtegemea wa chini hivo kama wachini wanakuangusha naww hamna lolote utalokua unaonekana unafanya.
LAKINI KWANINI KUA SHAMELESS NI MUHIMU?
Katika kujifunza funza nikaja kukutana na hiki kitu. Cheki hapa chini
Kuna kitu inaitwa Vibration Energy hii Tunaishi nayo kila kitu kinatoka ndani. Katika Energy chanya ndio kuna Amani, Kukubaliana na hali, Upendo nk, Na Energy Hasi ndo kuna Aibu, Kujihukumu, Woga, Majonzi na hasira. Kama unajua kashule kidogo waweza fatisha uo mchoro.
Hivo bas kua na aibu, hasira, Hamu, Kujivuna kujisikia si Hali ambayo binadamu ameumbiwa ni hali ambayo huleta uharibifu na kuzuia mafanikio ya mtu nikiongelea mafanikio simaanishi pesa au vitu vya kushikkiaka.
Baada ya hapo ndipo nilipoona Kua asiye na aibu si mwehu ila yuko level nyingine ya maisha tena level ya juu. Hapa hatumaanishi kujitoa akili kufanya maovu, no.
Ni kufikiria mambo mangap umeyakosa au umefeli kutokana na kuhofia watu wanachowaza au watakuonaje au kuwaonea aibu. Vitu vingap umevikosa kutokana na hasira kujiona na kujisikia? Jibu unalo mwenyewe.
***********************************
LEo hii Nimeacha kazi pale kama miaka mitatu lakini Sina namba za wote tumepotezana nao lakinI guess what Ni namba yake huyu mtu SHAMELESS. Baadae nilivutiwa sana na hii hulka yake ningekua nayo hii ningekua mbali sana.
Nataka nijue nawezaje kuwa SHAMELESS?
Hapana si uchawa ni kukosa haya wala kujari watu wanafikiri au watasema niniShameless kwa mujibu wa uzi wako si ndo chawa ee kama mwashambwa
si kweliShameless kwa mujibu wa uzi wako si ndo chawa ee kama mwashambwa
Unahitaji kujiaminiNahitaji kua shameless mkuu nielewe tu!! hata mwenye communication skills bado anaweza kua na aibu