Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah tunakimbia kwenye mashindano ya riadha lakini sio kuikimbia nchi.Is Kenya the best country kwako? Kwa lipi hasa? Wakenya wenyewe wanakimbia kwao wewe mtindiga unataka kwenda.
Kuna mkenya aliniambia watanganyika washamba sana, wakifika Nairobi wanashangaa as though wamefika London.
Olewa na mkenyaNgoja waje. Binafsi Gen Z wa Kenya wamenivutia sana.
Nitajifunza mbele kwa mbeleUnaweza kuandamana???
Ndio Kenya ni bora kuliko Tanzania. Una swali jingine?Is Kenya the best country kwako? Kwa lipi hasa? Wakenya wenyewe wanakimbia kwao wewe mtindiga unataka kwenda.
Kuna mkenya aliniambia watanganyika washamba sana, wakifika Nairobi wanashangaa as though wamefika London.
NitawezaRuto must Go
Utaweza kununua kilo ya unga kwa 5000 ya bongo
Kenya ipo ya kupata ardhi wakati kina Kenyatta na genge lake ndio wamiliki wa ardhi?Wadau naombeni mnisaidie jambo Moja nataka kubadili uraia Mimi na familia yangu niwe raia wa Kenya nifate process zipi Ili niweze kubadili uraia na niweze kumiliki ardhi Kenya na kujenga naombeni msaada Kwa wanaojua nipo serious wadau
Hilo sio jibuWakenya hawataki wageni waoga mazee....
SawaKila la kheri
Hilo sio jibuKenya ipo ya kupata ardhi wakati kina Kenyatta na genge lake ndio wamiliki wa ardhi?
Ukishindwa kuwa na ardhi Tanzania iliyojaa mapori usifikirie Kenya.
Acha ujuha amekwambia anatafuta ardhi?Kenya ipo ya kupata ardhi wakati kina Kenyatta na genge lake ndio wamiliki wa ardhi?
Ukishindwa kuwa na ardhi Tanzania iliyojaa mapori usifikirie Kenya.