Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry, Naombeni site ya kudownload full movie free za makampuni ya movie kama universal pictures
onstreamapp.com
nenda kenya kaulize, unasubiri nini? umetamani maandamano nini.Hivi nikitaka kubadilisha uraia nichukue uraia wa Kenya natakiwa nifate njia zipi? Najua humu kuna wajuzi wengi siwezi kukosa majibu.
Nimeshaanza ku practice, leo nimenunua blacelet za Kenya mimi na familia yangu.
View attachment 3051212
Kila la kheri kwake apate uraia wa Kenya
Ndio Kenya ni bora kuliko Tanzania. Una swali jingine?
Kweli eeeh kwani Uongo
Olewa na mkenya
Wakenya Wamejaa Dubai wanafua chupi za waarabuIs Kenya the best country kwako? Kwa lipi hasa? Wakenya wenyewe wanakimbia kwao wewe mtindiga unataka kwenda.
Kuna mkenya aliniambia watanganyika washamba sana, wakifika Nairobi wanashangaa as though wamefika London.
Hiyo ardhi ya Tanzania mnayoiongelea ndiyo hii inayoatikana kwa rushwa na kitapeli? Ambayo tangu na tangu ni migogoro isiyoisha?Kenya ipo ya kupata ardhi wakati kina Kenyatta na genge lake ndio wamiliki wa ardhi?
Ukishindwa kuwa na ardhi Tanzania iliyojaa mapori usifikirie Kenya.
Wakenya Wamejaa Dubai wanafua chupi za waarabu
Kwao kuna njaa sana,wanapenda kujipa sifa za kijingaKama wamejaa Dubai nini kimewakimbiza Kenya? Huoni ni ujinga kwenda sehemu ambako wenyeji wenyewe wanakimbia.
Kwanini usiombe uraia wa mbinguniHivi nikitaka kubadilisha uraia nichukue uraia wa Kenya natakiwa nifate njia zipi? Najua humu kuna wajuzi wengi siwezi kukosa majibu.
Nimeshaanza ku practice, leo nimenunua blacelet za Kenya mimi na familia yangu.
View attachment 3051212
Kenya ni rahisi sana kupata ardhi. Ata ukafika Leo jioni unaeza kua mmiliki wa ardhi kubwa sanaKenya ipo ya kupata ardhi wakati kina Kenyatta na genge lake ndio wamiliki wa ardhi?
Ukishindwa kuwa na ardhi Tanzania iliyojaa mapori usifikirie Kenya.