Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Wakenya weusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijakuelewaWakenya weusi
Tulipowaambia wanaopinga uraia pacha kuwa haiwezekani watu kutoka nje kuja kuchukua uraia wa Tanzania kirahisi, walitubishia sana. Sasa kwa kuwa Kenya wanaruhusu uraia pacha, waje hapa wakushauri jinsi utakavyopata uraia wa Kenya kirahisi!Wadau naombeni mnisaidie jambo Moja nataka kubadili uraia Mimi na familia yangu niwe raia wa Kenya nifate process zipi Ili niweze kubadili uraia naombeni msaada Kwa wanaojua nipo serious wadau siwezi kaa tanzania nchi masikini sana
Duuh sawaTulipowaambia wanaopinga uraia pacha kuwa haiwezekani watu kutoka nje kuja kuchukua uraia wa Tanzania kirahisi, walitubishia sana. Sasa kwa kuwa Kenya wanaruhusu uraia pacha, waje hapa wakushauri jinsi utakavyopata uraia wa Kenya kirahisi!
SawaChai
Ya maziwaSawa
Acha unafiki kuja kuuliza hili jambo mtandaoni wewe kama upo serious si uende kwenye mamlaka zinazo husika upewe utaratibu au unaandika huku ili tukuone kwamba na wewe ni mwana mapinduziWadau naombeni mnisaidie jambo Moja nataka kubadili uraia Mimi na familia yangu niwe raia wa Kenya nifate process zipi Ili niweze kubadili uraia naombeni msaada Kwa wanaojua nipo serious wadau siwezi kaa tanzania nchi masikini sana
Kwani weusi una shida gani mkuu?Wakenya weusi
Juha Babako mzazi, Fuseeeeki.Acha ujuha amekwambia anatafuta ardhi?
Wewe ni mfurahisha kijiwe...hujawahi kuwa serious kwa lolote.Wadau naombeni mnisaidie jambo Moja nataka kubadili uraia Mimi na familia yangu niwe raia wa Kenya nifate process zipi Ili niweze kubadili uraia naombeni msaada Kwa wanaojua nipo serious wadau siwezi kaa tanzania nchi masikini sana
niceHivi nikitaka kubadilisha uraia nichukue uraia wa Kenya natakiwa nifate njia zipi? Najua humu kuna wajuzi wengi siwezi kukosa majibu.
View attachment 3051212
Nimeshaanza ku practice, leo nimenunua blacelet za Kenya mimi na familia yangu.
acha ujuhaJuha Babako mzazi, Fuseeeeki.
TAFUTA tu hela ya kununua ardhi uje nikuvushe kimagendo mkuuWadau naombeni mnisaidie jambo Moja nataka kubadili uraia Mimi na familia yangu niwe raia wa Kenya nifate process zipi Ili niweze kubadili uraia naombeni msaada Kwa wanaojua nipo serious wadau siwezi kaa tanzania nchi masikini sana
Kenya is FireHivi nikitaka kubadilisha uraia nichukue uraia wa Kenya natakiwa nifate njia zipi? Najua humu kuna wajuzi wengi siwezi kukosa majibu.
Nimeshaanza ku practice, leo nimenunua blacelet za Kenya mimi na familia yangu.
View attachment 3051212
Aisee kweli bana,Hivi nikitaka kubadilisha uraia nichukue uraia wa Kenya natakiwa nifate njia zipi? Najua humu kuna wajuzi wengi siwezi kukosa majibu.
Nimeshaanza ku practice, leo nimenunua blacelet za Kenya mimi na familia yangu.
View attachment 3051212
Kweli eeeh kwani UongoIs Kenya the best country kwako? Kwa lipi hasa? Wakenya wenyewe wanakimbia kwao wewe mtindiga unataka kwenda.
Kuna mkenya aliniambia watanganyika washamba sana, wakifika Nairobi wanashangaa as though wamefika London.
Umefikiria Jambo kubwa sana .Kenya kesho itakuwa nchi nzuri sana na itapigiwa mfano Afrika time will tell .Tanganyika hata kudai UMEME TU MAJI Wanashindwa .Nyerere aliambiwa na Jomo Kinyatta umetawala Maiti.Hivi nikitaka kubadilisha uraia nichukue uraia wa Kenya natakiwa nifate njia zipi? Najua humu kuna wajuzi wengi siwezi kukosa majibu.
Nimeshaanza ku practice, leo nimenunua blacelet za Kenya mimi na familia yangu.
View attachment 3051212