Nataka ya peke yangu mie

Nataka ya peke yangu mie

Hivi adabu imekwisha siku hizi unaweza ukamuuliza dada mkubwa swali kama hili kweli?? Dawa yako ipo ngoja
We unajifanya uko bize nikikwambia "I NEED TO TALK TO YOU" haunijali unajua i am worth more than gold and diamond
 
Hautapata la peke yako wenyewe wana misemo 'kizuri kula na mwenzio','halohalo haina makombo hii kitu'
 
Hivi adabu imekwisha siku hizi unaweza ukamuuliza dada mkubwa swali kama hili kweli?? Dawa yako ipo ngoja
Pole Dena hata mimi hilo swali limenikera sana huwezi amini,akutukanae hakuchagulii tusi'
 
Umean jiko la mchina,gesi au mkaa?,jiko la kuni kaka ndo mzuka yaani lifate kijijini kwa bibi at least.
 
Kweli kabisa dearest..ndo maana hata mimi utataka kunishea...
Aah! wapi nikikupata tunajenga nyumba yenye duka mbele wakitaka kuingia nyumbani wanapita dukani ambapo mi nipo,yaani full ulinzi na Makarov pistol yangu kwenye draw.
 
Aah! wapi nikikupata tunajenga nyumba yenye duka mbele wakitaka kuingia nyumbani wanapita dukani ambapo mi nipo,yaani full ulinzi na Makarov pistol yangu kwenye draw.

Sasa shearing is kearing inapotelea wapi tena dearest?
 
Back
Top Bottom