The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Majirani wengine wana wivu wanaweza kuja kukuvamia kwako wakavunja mlango ili waibe jiko lako.Nunua alafu ulifungie ndani hata majirani wasione!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majirani wengine wana wivu wanaweza kuja kukuvamia kwako wakavunja mlango ili waibe jiko lako.Nunua alafu ulifungie ndani hata majirani wasione!
Jiko lako limetumiwa na watu wangapi?
Practise make................?????????Nataka jiko la peke yangu mie si kila mja anachakachua!
Wapi ntapata aina hii?
Mi natumia la gesi nikipikia napeleka mtungi stoo.Majirani wengine wana wivu wanaweza kuja kukuvamia kwako wakavunja mlango ili waibe jiko lako.
We unajifanya uko bize nikikwambia "I NEED TO TALK TO YOU" haunijali unajua i am worth more than gold and diamondHivi adabu imekwisha siku hizi unaweza ukamuuliza dada mkubwa swali kama hili kweli?? Dawa yako ipo ngoja
Pole Dena hata mimi hilo swali limenikera sana huwezi amini,akutukanae hakuchagulii tusi'Hivi adabu imekwisha siku hizi unaweza ukamuuliza dada mkubwa swali kama hili kweli?? Dawa yako ipo ngoja
Jiko lako limetumiwa na watu wangapi?
Mchezaji mzuri ni yule anayepata mechi nying za kirafki.
Uporoto jiko lako limetumika/limetumiwa mara ngapi?Grrrrrr!! GROAN,DISLIKE.
Majirani wengine wana wivu wanaweza kuja kukuvamia kwako wakavunja mlango ili waibe jiko lako.
Hautapata la peke yako wenyewe wana misemo 'kizuri kula na mwenzio','halohalo haina makombo hii kitu'
Nataka jiko la peke yangu mie si kila mja anachakachua!
Wapi ntapata aina hii?
Hahaha! labda tukutane kujua nani jiko kati yetu.Uporoto jiko lako limetumika/limetumiwa mara ngapi?
Aah! wapi nikikupata tunajenga nyumba yenye duka mbele wakitaka kuingia nyumbani wanapita dukani ambapo mi nipo,yaani full ulinzi na Makarov pistol yangu kwenye draw.Kweli kabisa dearest..ndo maana hata mimi utataka kunishea...
Aah! wapi nikikupata tunajenga nyumba yenye duka mbele wakitaka kuingia nyumbani wanapita dukani ambapo mi nipo,yaani full ulinzi na Makarov pistol yangu kwenye draw.
Hayo ya sharing ni mdomoni tu kwa lizzy tutaonana wabaya na watu kibao.Sasa shearing is kearing inapotelea wapi tena dearest?