Natakakusoma hesabu chuo kikuu bila kupitia form iv

kijimsela

Member
Joined
Mar 17, 2013
Posts
97
Reaction score
15
Habari zenu wana JF naombeni ushauri;nahitaji kusomea BED in mathematics ila sijasomea hesabu form 6, nimesoma o-leval nilipata C ya hesabu kwani nilikuwa naipenda sana hesabu mpaka leo bado naipenda,ila watu wananishauri kwamba nisisubutu kusomea hesabu chuo kikuu kwani ni ngumu. Nina diploma ya Human Resource Mgm(1st class) nilitokea moja kwa moja frm 4 sikupitia frm 6,ila nimepania kusoma kwa juhuudi hiyo hesabu.Naombeni ushauri wenu wa aina yeyote nitaupokea kwa masomo ya degree hususani yenye hesabu nitafurahi zaidi.

Nawasilisha.
 
ni rahisi kwa mtua aliyefanya science kufanya arts kuliko kinyume chake in reality hutaweza
 
Nashukuru mkuu kwa ushauri wako,hata kama nikijituma vilivyo haita saidia?

si kwamba nakukatisha tamaa..ila unadhani ukifika darasani ukaambiwa differential equations, complex number, trigonometric ratios, integrals, differentiation je utapata kitu? na je ni chuo gani wataweza kukusajili? na kama ulikua unapenda maths kwa nini hukuendelea advance????
ndugu yangu ukifika chuoni jua hesabu haitakua ile ya form 4...chuoni ni pure mathematics tu!! na sio kwamba nakukatisha tamaa ila huo ndio ukweli, anyway labda waje wengine wanaojua zaidi hasa jinsi mtu ambaye hasoma maths advance akaenda kusomea degree ya hesabu chuoni!!
 

Nashukuru mkuu ndo ushauri lazima niupokee naimani unauelewa na hii kitu.kuhusu kutoenda advance kombi hazikubalance halafu uchumi haukua mzuri baadae nikashauliwa nipitie diploma nipate ajira kwanza frm 6 ntapoteza mda,ajira yeenyewe ndo hivyo majanga.
 
Huko kwenye diploma umesoma hesabu? Kama hujasoma, msingi wako wa hesabu sio mzuri sana kiasi cha kuweza kuhimili mikiki ya chuo kwa ufanisi. Ila kama umeamua unaweza, kinachotakiwa ni juhudi na pia kumbuka hesabu ni mazoezi zaidi, kwa hiyo ukifika chuo inabidi uhakikishe haipiti siku hujafanya hesabu.

Kwa upande mwingine umeshajiuliza unataka kusoma hesabu ili iweje? Yaani ukishasoma halafu ndio inakuwaje? What is your ambition in life?
 
Mkuu nashukuru sana na nazidi kupokea maoni yenu,kuhusu majibu ya maswali yako ni hivi;
•Nimesoma hesabu za statistics na accountants
•Nahitaji kuwa mwalimu wa hesabu kuanzia o-leval,ndio maana nataka kuchukua education in mathematics.
Naendelea kupokea mawazo yako mkuu.
 
basic mathematics haifiki hata robo ya pure maths,ulichopata ordinary level ni intro to maths kwa advans nimefanya maths advans if your not smart utafeli vibaya sikukatishi tamaa ila hutaweza chuo
 
Unaweza, ila pata tuition ya Pure Maths kwa miezi 13 kwanza umalize 'silabas' ya A-level, kuna tofauti kubwa kubwa sana kati ya hesabu za o-level na A-level, trust me!
 
basic mathematics haifiki hata robo ya pure maths,ulichopata ordinary level ni intro to maths kwa advans nimefanya maths advans if your not smart utafeli vibaya sikukatishi tamaa ila hutaweza chuo

Nashukuru mkuu.
 
Unaweza, ila pata tuition ya Pure Maths kwa miezi 13 kwanza umalize 'silabas' ya A-level, kuna tofauti kubwa kubwa sana kati ya hesabu za o-level na A-level, trust me!

Ahsante ntalifanyia kazi mkuu.
 

Usijisumbue labda ukasome Luco lakini kama ni UDSM utakimbia hata kabla ya test, hesabu uliyosoma Olever ni basic maths ambayo hata advance inapplication ndogo sana kwani topic huwa tofauti.
 
hongera sana wote waliokushauri hawana uelewa mzuri ST. JOSEPH UNIVERSITY WANATOA BACHELOR OF EDUCATION WITH MATHEMATICS KWA WALIO MALIZA FORM FOUR NA KUPATA C KWENYE HESABU....CHECK WEBSITE YAO
 
Mantiki nzima ya mada hii nadhani ingejikita kwenye maswali haya. Anataka kusoma HISABATI ili awe nani?

Amekwishajibu hili swali kuwa anataka awe mwalimu wa hisabati hasa O-Level.
 
hongera sana wote waliokushauri hawana uelewa mzuri ST. JOSEPH UNIVERSITY WANATOA BACHELOR OF EDUCATION WITH MATHEMATICS KWA WALIO MALIZA FORM FOUR NA KUPATA C KWENYE HESABU....CHECK WEBSITE YAO

Thanks, ntafuatilia @ samvurah
 
Sorry mkuu,
Badili kwanza hii ( IV to VI ) hiyo uloiweka ni four. Umeweka four (V) badala ya six (VI).
 
Form six!!!! Hesabu ya form six na chuo hazina tofaut sana ila tofaut ni jinsi mhadhiri na mwalimu wanavyofundisha. Form six wanaelewesha sababu wanaamini hakuna anaejua chochote kwenye topic husika lakini chuo wanapitiapitia juu juu wakiamini wote walisoma form six hivyo ni marudio tu...
Fanya usome ya form six ili iwe rahisi chuo otherwise utateseka sana na utaishia kupata makarai (C) au supplementary kabisa.
 

Ahsante kwa ushauri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…