kijimsela
Member
- Mar 17, 2013
- 97
- 15
Habari zenu wana JF naombeni ushauri;nahitaji kusomea BED in mathematics ila sijasomea hesabu form 6, nimesoma o-leval nilipata C ya hesabu kwani nilikuwa naipenda sana hesabu mpaka leo bado naipenda,ila watu wananishauri kwamba nisisubutu kusomea hesabu chuo kikuu kwani ni ngumu. Nina diploma ya Human Resource Mgm(1st class) nilitokea moja kwa moja frm 4 sikupitia frm 6,ila nimepania kusoma kwa juhuudi hiyo hesabu.Naombeni ushauri wenu wa aina yeyote nitaupokea kwa masomo ya degree hususani yenye hesabu nitafurahi zaidi.
Nawasilisha.
Nawasilisha.