Natakakusoma hesabu chuo kikuu bila kupitia form iv

Natakakusoma hesabu chuo kikuu bila kupitia form iv

MKUU ACHA KABISA ILE KITU PURE MATH usipime ondoa wazo hilo
Habari zenu wana JF naombeni ushauri;nahitaji kusomea BED in mathematics ila sijasomea hesabu form 6, nimesoma o-leval nilipata C ya hesabu kwani nilikuwa naipenda sana hesabu mpaka leo bado naipenda,ila watu wananishauri kwamba nisisubutu kusomea hesabu chuo kikuu kwani ni ngumu. Nina diploma ya Human Resource Mgm(1st class) nilitokea moja kwa moja frm 4 sikupitia frm 6,ila nimepania kusoma kwa juhuudi hiyo hesabu.Naombeni ushauri wenu wa aina yeyote nitaupokea kwa masomo ya degree hususani yenye hesabu nitafurahi zaidi.

Nawasilisha.
 
Mkuu amekwambia BED in MATH muurumie mwenzio tuliopita tumeyaona bana inabd haende kufundsha Math hata form six huyo akimaliza . hapo ni PURE Math
Sijajua huko BED wanafundisha hesabu za aina gani ila kama ni pure mathematics ambayo sidhani kama inafundishwa huko kwenye accountants basi kazi utakuwa nayo si kidogo. Cha msingi usikatishwe tamaa na watu, hii kitu unaweza kabisa kufanya kama unapenda hesabu. Hesabu bwana ujanja wake ni kufanya mazoezi ya kutosha kwa sababu uzuri wa hesabu ukishajua principles kila kitu kinakuwa rahisi. Kama nilivyokwambia mwanzoni unatakiwa kuhakikisha haipiti siku hujafanya hesabu, utaweza tu. Ukifikia chuo chukulia hesabu ni kama chai vile au msosi wa jioni.

Kimsingi hesabu ni rahisi sana tatizo wengi wa wanafunzi wa kibongo hawana misingi mizuri. Mimi nakumbuka nilipokuwa A-level somo nililokuwa naona ni rahisi kupita yote ni hiyo Advanced Mathematics.
 
Mkuu amekwambia BED in MATH muurumie mwenzio tuliopita tumeyaona bana inabd haende kufundsha Math hata form six huyo akimaliza . hapo ni PURE Math
Naelewa mkuu ila wahenga walisema penye nia pana njia. Kama vipi anaweza kukomaa ila ndio hivyo juhudi za ziada zinahitajika.

Ila mimi siamini kama hesabu ni ngumu. Ni msingi mbovu tu kwa wanafunzi wengi.Ulishawahi kujiuliza kwa nini nchi Asia wanafunzi wengi sana wanajua hesabu kuliko nchi zetu za Afrika?
 
Naelewa mkuu ila wahenga walisema penye nia pana njia. Kama vipi anaweza kukomaa ila ndio hivyo juhudi za ziada zinahitajika.

Ila mimi siamini kama hesabu ni ngumu. Ni msingi mbovu tu kwa wanafunzi wengi.Ulishawahi kujiuliza kwa nini nchi Asia wanafunzi wengi sana wanajua hesabu kuliko nchi zetu za Afrika?

Ni kweli nilizianda hizo juhudi za ziada kwani hata mi akilini naijua pure si mchezo,ila tatizo linakuja kwenye suala ulilosema kuwa waalimu wetu wanaojua hilo somo jinsi wananavyojiona! Hapo ndo ishu.
 
Mkuu math ngumu imebeba sheria ndani yk anae jua math manake anajua sheria hizo, ili kuzimasta inahitaji mda ndomana kuna pre request mfano huwezi kusoma Differential EQN kama hujajua integration na differntn. Hivyo ikipigwa hiyo tuna integrate na ku differnt juu kwa juu sasa kaz kwa yule asiye jua yaan ataumia ELIMU KWAKE ITAKU MATESO KUNA STATISTIC KULE BANA WEEE taumia huyu haloo ataumia
Naelewa mkuu ila wahenga walisema penye nia pana njia. Kama vipi anaweza kukomaa ila ndio hivyo juhudi za ziada zinahitajika.

Ila mimi siamini kama hesabu ni ngumu. Ni msingi mbovu tu kwa wanafunzi wengi.Ulishawahi kujiuliza kwa nini nchi Asia wanafunzi wengi sana wanajua hesabu kuliko nchi zetu za Afrika?
 
Mkuu math ngumu imebeba sheria ndani yk anae jua math manake anajua sheria hizo, ili kuzimasta inahitaji mda ndomana kuna pre request mfano huwezi kusoma Differential EQN kama hujajua integration na differntn. Hivyo ikipigwa hiyo tuna integrate na ku differnt juu kwa juu sasa kaz kwa yule asiye jua yaan ataumia ELIMU KWAKE ITAKU MATESO KUNA STATISTIC KULE BANA WEEE taumia huyu haloo ataumia
sasa muda unatofautiana kuna watu wanatumia muda mfupi tu kumaster hizo kanuni na unaweza kukuta huyu ni mmoja wapo. Math kawaida sana, watu mnawaogopesha sana wanafunzi. Yaani hesabu ni kati ya masomo ambayo unaweza kuambiwa kuna test muda wowote halafu hushtuki maana kanuni ni zilezile. Halafu hakuna kuonewa kule, ukipatia umepatia na ukikosa umekosa. Very straightforward!! Ndio maana mimi naona ni rahisi tu kama ukifuata utaratibu mzuri wa kukomaa nazo.
 
HIKI ni spesho kesi kule wamesha andaliwa mazingira ya kufundshwa A to Z
hongera sana wote waliokushauri hawana uelewa mzuri ST. JOSEPH UNIVERSITY WANATOA BACHELOR OF EDUCATION WITH MATHEMATICS KWA WALIO MALIZA FORM FOUR NA KUPATA C KWENYE HESABU....CHECK WEBSITE YAO
 
hakuna bana inabd aambiwe ukweli ajue ingekua rahc km unavyosema A za math olevo zisingepotea advance najua zaidi ya asilimia 90 ya wanafunzi wanao soma PCM vipaji wana A za za olevel yakija ya advance nenda necta ukaone isotoshe pale UDSM (Coet) kakataliwa mtu kusoma engineering sababu YEYE kasoma BAM tu
sasa muda unatofautiana kuna watu wanatumia muda mfupi tu kumaster hizo kanuni na unaweza kukuta huyu ni mmoja wapo. Math kawaida sana, watu mnawaogopesha sana wanafunzi. Yaani hesabu ni kati ya masomo ambayo unaweza kuambiwa kuna test muda wowote halafu hushtuki maana kanuni ni zilezile. Halafu hakuna kuonewa kule, ukipatia umepatia na ukikosa umekosa. Very straightforward!! Ndio maana mimi naona ni rahisi tu kama ukifuata utaratibu mzuri wa kukomaa nazo.
 
Form six!!!! Hesabu ya form six na chuo hazina tofaut sana ila tofaut ni jinsi mhadhiri na mwalimu wanavyofundisha. Form six wanaelewesha sababu wanaamini hakuna anaejua chochote kwenye topic husika lakini chuo wanapitiapitia juu juu wakiamini wote walisoma form six hivyo ni marudio tu...
Fanya usome ya form six ili iwe rahisi chuo otherwise utateseka sana na utaishia kupata makarai (C) au supplementary kabisa.
Mkuu mimi ni mhitimu wa Bsc. Mathematics. Si kweli kuwa hesabu za form six na chuo hazina tofauti sana. Kule ni deep sana. Nikupe mfano, kwenye complex number tulikuwa na lecture sessions 15 ila kwenye session ya kwanza tulimaliza complex ya six, zilizobaki balaa, tuli integrate mpaka complex number!! Kuna topology, functional analysis, ambazo hazipo six. Elimu ya form six ni muhimu sana. Bila form six asijidanganye kufanya maths chuo kikuu.
 
kama umejipanga kapige usiogope kk ila nakushauri uchague serikalini

Serikalini chuo gani atapata bila six? Cha kumshauri dogo ni kuomba St. Joseph. Pale kwa waliomaliza form four wanapiga degree miaka mitano( of which miwili ni ile ya six). Ila vyuo vya serikali hata mature age hawaruhusu kozi zenye maths na science
 
waambie bana wasimpotoshe mwenzao engineering math tuliyopiga Coet pale udsm ilikua ishu yaan olevel aambui bana utatokea wap kwanza kukomaa sawa lkn c kivile bana
Mkuu mimi ni mhitimu wa Bsc. Mathematics. Si kweli kuwa hesabu za form six na chuo hazina tofauti sana. Kule ni deep sana. Nikupe mfano, kwenye complex number tulikuwa na lecture sessions 15 ila kwenye session ya kwanza tulimaliza complex ya six, zilizobaki balaa, tuli integrate mpaka complex number!! Kuna topology, functional analysis, ambazo hazipo six. Elimu ya form six ni muhimu sana. Bila form six asijidanganye kufanya maths chuo kikuu.
 
waambie bana wasimpotoshe mwenzao engineering math tuliyopiga Coet pale udsm ilikua ishu yaan olevel aambui bana utatokea wap kwanza kukomaa sawa lkn c kivile bana
Sasa kwani yeye anaenda kusoma Math ya Coet??? Acheni kumtisha bwana, mimi nimesoma pure na chuo nimekula namba sana tu bado sijaona ugumu wowote.
 
Nimesoma BED SCIENCE Mwenge Univeristy, Physics & Mathematics (2012), hutoweza kusoma hesabu chuo kikuu kama hujasoma pure a'level,Nakushauri uking'ang'ania utajuta kuzalia, kuna kitu kinaitwa differential eqn,complex number, ni hatari, zile za a'level ni cha mtoto kabisaaaa, pls ucjalibu kwa ushauri zaid mrjulius86@gmail.com
 
nashukuru mkuu ndo ushauri lazima niupokee naimani unauelewa na hii kitu.kuhusu kutoenda advance kombi hazikubalance halafu uchumi haukua mzuri baadae nikashauliwa nipitie diploma nipate ajira kwanza frm 6 ntapoteza mda,ajira yeenyewe ndo hivyo majanga.

mkuu pole sana, kama unahamu ya kusoma digree ya hesabu kweli nakushauri uanze kidato cha sita, la sivyo utarudi nyumbani mwenyewe bila kuambiwa!
 
usituongopee bwana wee alafu hujui uhusiano wa coet na Math kwanza, kwan yy ataenda kusoma hesabu za kutoka mbinguni? Ile math ya coet ni kama option lkn hawezi vp yule anaeenda kusoma afundishe wenzake Math?
Sasa kwani yeye anaenda kusoma Math ya Coet??? Acheni kumtisha bwana, mimi nimesoma pure na chuo nimekula namba sana tu bado sijaona ugumu wowote.
 
usituongopee bwana wee alafu hujui uhusiano wa coet na Math kwanza, kwan yy ataenda kusoma hesabu za kutoka mbinguni? Ile math ya coet ni kama option lkn hawezi vp yule anaeenda kusoma afundishe wenzake Math?
Sijaongopa sehemu yeyote. Sijasema najua uhusiano wa Coet na Math na pia nilisema kule juu sijui aina ya Math inayofundishwa BAED ila pia nilisema kama ni pure basi jitihada za ziada zinahitajika. Sioni umuhimu wa kulumbana hapa kwa sababu wewe kama unaona hesabu ni ngumu hiyo ni juu yako huwezi kulazimisha na mimi nione hesabu ngumu!!! chukulia unakutana na mtu anakwambia kuimba ni rahisi sana kwa kuwa yeye anaweza na anaamini hivyo halafu wewe uanze kumbishia eti ni ngumu hivi atakuelewa. FYI mwaka niliomaliza mimi A-level niliongoza kwenye Advanced Mathematics Bongo nzima so go figure na nimesoma hesabu kwenye nchi ambazo hesabu ni kama chai tu.
 
Habari zenu wana JF naombeni ushauri;nahitaji kusomea BED in mathematics ila sijasomea hesabu form 6, nimesoma o-leval nilipata C ya hesabu kwani nilikuwa naipenda sana hesabu mpaka leo bado naipenda,ila watu wananishauri kwamba nisisubutu kusomea hesabu chuo kikuu kwani ni ngumu. Nina diploma ya Human Resource Mgm(1st class) nilitokea moja kwa moja frm 4 sikupitia frm 6,ila nimepania kusoma kwa juhuudi hiyo hesabu.Naombeni ushauri wenu wa aina yeyote nitaupokea kwa masomo ya degree hususani yenye hesabu nitafurahi zaidi.

Nawasilisha.

Ndugu yangu wala usijaribu.Utaweza mikiki ya akina Prof.Masenge sijui bado yupo au hapana??Maana hata kama advance ulipata A hapo unaenya na hesabu zake za double integral na calculac we atu ty
 
Sijaongopa sehemu yeyote. Sijasema najua uhusiano wa Coet na Math na pia nilisema kule juu sijui aina ya Math inayofundishwa BAED ila pia nilisema kama ni pure basi jitihada za ziada zinahitajika. Sioni umuhimu wa kulumbana hapa kwa sababu wewe kama unaona hesabu ni ngumu hiyo ni juu yako huwezi kulazimisha na mimi nione hesabu ngumu!!! chukulia unakutana na mtu anakwambia kuimba ni rahisi sana kwa kuwa yeye anaweza na anaamini hivyo halafu wewe uanze kumbishia eti ni ngumu hivi atakuelewa. FYI mwaka niliomaliza mimi A-level niliongoza kwenye Advanced Mathematics Bongo nzima so go figure na nimesoma hesabu kwenye nchi ambazo hesabu ni kama chai tu.
Mkuu, mimi nimesoma hesabu chuo kikuu. Kikubwa ni kwamba, hesabu inahitaji strong base. For sure, hawezi kusoma zile kama hajapita six. Ila nilishauri akasome St. Joseph, miaka mitano kwa mhitimu wa form four(of which two years ni zile za advance)
 
si kwamba nakukatisha tamaa..ila unadhani ukifika darasani ukaambiwa differential equations, complex number, trigonometric ratios, integrals, differentiation je utapata kitu? na je ni chuo gani wataweza kukusajili? na kama ulikua unapenda maths kwa nini hukuendelea advance????
ndugu yangu ukifika chuoni jua hesabu haitakua ile ya form 4...chuoni ni pure mathematics tu!! na sio kwamba nakukatisha tamaa ila huo ndio ukweli, anyway labda waje wengine wanaojua zaidi hasa jinsi mtu ambaye hasoma maths advance akaenda kusomea degree ya hesabu chuoni!!

Ila angekuwa amesoma walau Additional Maths O'level, atleast ingesaidia.
 
Back
Top Bottom