Nafikiria kuwaona madaktar bingwa wangine wawili prof yongolo aliestaafu,Dr tosir pia nawamgine mnaweza nielekeza je nikshawaona wangine kunahaja yakuwaambia uko nilikopita namajibu yake
Zinakusaidia?Hapa nimeandikwa dawa zamwezi mzima kutumia yaan zakutumia kuweza kufanya kwa mda mrefu..hapa tu vipimo na dawa zimenitoka pesa ndefu
Hayo mazoez ya kegel yanafanyikaje,tupe elimu tujueUsikubali ndugu yangu fanya mazoezi ya kegel,fanya mazoezi mengine ya Mwili utakaa sawa
Bado we vip ushaponaPole sana mkuu, vipi umeshapata tiba?
Bado bado mkuu, vipi ulishajaribu mitishamba mkuu?Bado we vip ushapona
Yanafanyikajepamoja na yote fanya mazoezi ya kegel kila siku ya mungu,haya mazoezi yanafanya mzunguko wa damu kwenda uumeni uwe mkubwa na misuli kuwa imara.kegel exercise
Nataka kujaribu kwa mdada mwingineMkuu umejaribu tombana na demu mwengine?? Hali ikawa hivyo hivyo???
Kama mkeo mweusi tafuta mdamda mweupe, kama bonge try mwembamba umejaribu??