Natamani aende kwao tu....

Natamani aende kwao tu....

Yani full tafrani home,ana wiki ya pili sasa yani nimeshamchoka uyu ndugu,kafika home kututembelea lakini full kutupangia ratiba za kuamka ,leo kaamka mapema kaanza kutia makelele hamkeni!!! hamkeni!!! Usafi mtafanya SAA ngapi? Wakati sisi tunaratiba zetu za usafi, kila mtu akiamka ana kazi yake ya kufanya.Hadi jinsi ya kuvaa nguo anatupangia,yeye mwislam anataka wote tuvae minguo mirefu kha hapana!!! kwakweli natamani aondoke ata kesho ana kazi ya kusemana tu, hadi kufatilia jikoni jinsi unavyopika......."Jana kaniita akidai ana shida anataka tuzungumze nikamwambia sawa,mada yenyewe sasa ni kuhusu mavazi yangu ety nisivae suruali" Leo nimevaa sketi ndefu ananambia napenda uwe unavaa ivi kila siku!!! kwani mimi ni mtawa wa st fransis!!!!!!!.........
Unaonekana una shida we mtoto. Kwanza hujatuambia ni nani yako na ana umri gani?
Pia unaonekana huna malezi ko ni vitoto flani ivi vimefunga shule/chuo vinaishiishi kama mabata vinaamka muda vinaotaka vyenyewe, vinapika muda viutakao, vinavaa hovyo na hata adabu havina.

Jukum la malezi ni la mtu yyt ambae amekushinda maarifa. Haijalishi ni mjomba, shangazi au babu akija kutembea kwenu ana haki ya kusema lolote analoona halipo sawa na kukurekebisha. Sisi tumekuwa hata ukikutana na mtu baki mtaani ukafanya kosa anakuadhibu na ukifika home unakausha mana wakijua wazazi wanakuongezea fimbo.

Hatima yake ndo tunapata wake wa hovyo mke ambae anaamka saa4, anavaa hovyo anapika too late au hapiki kabisa. Badilika mdogo wangu hakuna binadam anaefurahia kumuona ndugu yake ana tabia za hovyo . KWA sisi hata ukituvalia vichupi tutafurahi lakini huyo kwakuwa ni ndugu yako hawezi kufurahia lazima akuseme, na hata wewe huwezi furahi kuona mwanao anatembea na bikini.

Nb: KICHAA ANACHEKESHA AKIWA AKUHUSU
 
Aah! Kumbe wale wanaoamka saa 2 asubuhi anachukua kahotipoti anakwenda gengeni kununua chapati na maharage.
Omeona ee! Afu kinasemwa kinakuja juu et. Mara paaaaah umeowa cha hivi[emoji2][emoji2][emoji2]
 
How old are you? hufanyi kazi au ndo umemaliza form four..wazazi wako wangekuwa hivo leo hii bado mngekuwa nyumba ya kupanga
Ahsanteh baba. Sipati picha wanaenda kuwa wazazi wa aina gani hawa?
 
Ahsanteh baba. Sipati picha wanaenda kuwa wazazi wa aina gani hawa?
Bado anakaa kumuwaza mgeni...mtu akitaka jua kachelewa kiasi gani angalia age ulioko nayo then rudi nyuma mzazi wako akiwa na age yako alikuwa wap na anafanya nini..utagundua mzazi wako hakuamka asubuhi na kuingia jf kuandika thread za kijinga bali alikuwa akipambana ndo mana umekuwa katika mazingira mazuri
 
Yani full tafrani home, ana wiki ya pili sasa yani nimeshamchoka uyu ndugu, kafika home kututembelea lakini full kutupangia ratiba za kuamka , leo kaamka mapema kaanza kutia makelele amkeni amkeni

Usafi mtafanya SAA ngapi? Wakati sisi tunaratiba zetu za usafi, kila mtu akiamka ana kazi yake ya kufanya. Hadi jinsi ya kuvaa nguo anatupangia,yeye muislam anataka wote tuvae minguo mirefu kha hapana!!! kwakweli natamani aondoke ata kesho ana kazi ya kusemana tu, hadi kufatilia jikoni jinsi unavyopika..."

Jana kaniita akidai ana shida anataka tuzungumze nikamwambia sawa, mada yenyewe sasa ni kuhusu mavazi yangu ety nisivae suruali" Leo nimevaa sketi ndefu ananambia napenda uwe unavaa hivi kila siku!!! kwani mimi ni mtawa wa st fransis.
Yawezekan mgeni yupo kwenye nafasi yakuwamudu wenyeji wake.Anajiamini Sana
 
Bado anakaa kumuwaza mgeni...mtu akitaka jua kachelewa kiasi gani angalia age ulioko nayo then rudi nyuma mzazi wako akiwa na age yako alikuwa wap na anafanya nini..utagundua mzazi wako hakuamka asubuhi na kuingia jf kuandika thread za kijinga bali alikuwa akipambana ndo mana umekuwa katika mazingira mazuri
Afu kimechonishangaza et kinalalamika kabisa kana kwamba ni haki yake kulala mpaka saa4 na kutembea uchi. Duh! Nchi ina vijana wa hovyo hii
 
Yani full tafrani home, ana wiki ya pili sasa yani nimeshamchoka uyu ndugu, kafika home kututembelea lakini full kutupangia ratiba za kuamka , leo kaamka mapema kaanza kutia makelele amkeni amkeni

Usafi mtafanya SAA ngapi? Wakati sisi tunaratiba zetu za usafi, kila mtu akiamka ana kazi yake ya kufanya. Hadi jinsi ya kuvaa nguo anatupangia,yeye muislam anataka wote tuvae minguo mirefu kha hapana!!! kwakweli natamani aondoke ata kesho ana kazi ya kusemana tu, hadi kufatilia jikoni jinsi unavyopika..."

Jana kaniita akidai ana shida anataka tuzungumze nikamwambia sawa, mada yenyewe sasa ni kuhusu mavazi yangu ety nisivae suruali" Leo nimevaa sketi ndefu ananambia napenda uwe unavaa hivi kila siku!!! kwani mimi ni mtawa wa st fransis.
Amesikia mpwayungu village kesho amesema anaondoka😂😂
 
Afu kimechonishangaza et kinalalamika kabisa kana kwamba ni haki yake kulala mpaka saa4 na kutembea uchi. Duh! Nchi ina vijana wa hovyo hii
Kijinga hiko kitakuwa kinakakaa uchi sana ..afu bado muda huo anataka endelea kulala 😁 asee umasikini kwa hivi hautaisha
 
Unaonekana una shida we mtoto. Kwanza hujatuambia ni nani yako na ana umri gani?
Pia unaonekana huna malezi ko ni vitoto flani ivi vimefunga shule/chuo vinaishiishi kama mabata vinaamka muda vinaotaka vyenyewe, vinapika muda viutakao, vinavaa hovyo na hata adabu havina.

Jukum la malezi ni la mtu yyt ambae amekushinda maarifa. Haijalishi ni mjomba, shangazi au babu akija kutembea kwenu ana haki ya kusema lolote analoona halipo sawa na kukurekebisha. Sisi tumekuwa hata ukikutana na mtu baki mtaani ukafanya kosa anakuadhibu na ukifika home unakausha mana wakijua wazazi wanakuongezea fimbo.

Hatima yake ndo tunapata wake wa hovyo mke ambae anaamka saa4, anavaa hovyo anapika too late au hapiki kabisa. Badilika mdogo wangu hakuna binadam anaefurahia kumuona ndugu yake ana tabia za hovyo . KWA sisi hata ukituvalia vichupi tutafurahi lakini huyo kwakuwa ni ndugu yako hawezi kufurahia lazima akuseme, na hata wewe huwezi furahi kuona mwanao anatembea na bikini.

Nb: KICHAA ANACHEKESHA AKIWA AKUHUSU
Hapa pa kichaa
 
Yani full tafrani home, ana wiki ya pili sasa yani nimeshamchoka huyu ndugu, kafika home kututembelea lakini full kutupangia ratiba za kuamka , leo kaamka mapema kaanza kutia makelele amkeni amkeni

Usafi mtafanya SAA ngapi? Wakati sisi tuna ratiba zetu za usafi, kila mtu akiamka ana kazi yake ya kufanya. Hadi jinsi ya kuvaa nguo anatupangia,yeye muislam anataka wote tuvae minguo mirefu kha hapana!!! kwakweli natamani aondoke ata kesho ana kazi ya kusemana tu, hadi kufatilia jikoni jinsi unavyopika..."

Jana kaniita akidai ana shida anataka tuzungumze nikamwambia sawa, mada yenyewe sasa ni kuhusu mavazi yangu ety nisivae suruali" Leo nimevaa sketi ndefu ananambia napenda uwe unavaa hivi kila siku!!! kwani mimi ni mtawa wa st fransis.

Kuna uzi humu unasema "temeke kila siku wanandoa wanaachana"ndio mimeamini saa hivi ni kweli
 
Yani full tafrani home, ana wiki ya pili sasa yani nimeshamchoka huyu ndugu, kafika home kututembelea lakini full kutupangia ratiba za kuamka , leo kaamka mapema kaanza kutia makelele amkeni amkeni

Usafi mtafanya SAA ngapi? Wakati sisi tuna ratiba zetu za usafi, kila mtu akiamka ana kazi yake ya kufanya. Hadi jinsi ya kuvaa nguo anatupangia,yeye muislam anataka wote tuvae minguo mirefu kha hapana!!! kwakweli natamani aondoke ata kesho ana kazi ya kusemana tu, hadi kufatilia jikoni jinsi unavyopika..."

Jana kaniita akidai ana shida anataka tuzungumze nikamwambia sawa, mada yenyewe sasa ni kuhusu mavazi yangu ety nisivae suruali" Leo nimevaa sketi ndefu ananambia napenda uwe unavaa hivi kila siku!!! kwani mimi ni mtawa wa st fransis.
Anakujenga uje kuwa, mwanajamii mwenye kujua majukumu na wajibu wako, mwenye kujisitiri na mke, mama bora!
 
Back
Top Bottom