BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
Wazazi wanatakiwa kuwa role models kwa watoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Inaitwa things fall apartMpaka leo hii sidhani kama bado utakuwa na mtazamo huo
Chinua Achebe [emoji1787][emoji1787], umenikumbusha mbali[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Inaitwa things fall apart
Ni one of my favourite African writers yeye, na Ngũgĩ wa Thiong'o na Ayi Kwei Armah na zile poem za Armand GuebuzaChinua Achebe [emoji1787][emoji1787], umenikumbusha mbali
Tisha sana mkuuHushauriwi mwanao kumpa jina la mtu aliye hai, muda wowote anachange. Ona Wazazi waloita watoto zao Jaden Wiliam Smith, sasa watoto wanajisikiaje kufananishwa na kijana anayetambulisha boyfriend jukwaani.
Eat more ya Armando Guebuza, inafurahishaNi one of my favourite African writers yeye, na Ngũgĩ wa Thiong'o na Ayi Kwei Armah na zile poem za Armand Guebuza
Mimi napenda FrontlineEat more ya Armando Guebuza, inafurahisha
Uko vizuri sana mkuu,Mimi napenda Frontline
Frontline where names are declared immortal
Frontline where our blood shall irrigate the victory
kuna na ile poem sina hakika kama ni ya kwake
They drive me along, they do they do
These brothers are no longer brothers
There hands are whips ...
No longer am I the same mother's child
Nshasahau ila nilikuwa napenda sana.
Halafu kuna kitabu cha Ngungi cha the Grain of wheat na the river between nilivipenda sana
Nilikuwa napenda sana poems na novels mkuu mpaka leo napenda sana novels hasa za fiction ila ndiyo muda wa kusoma unakosa nshakuwa na majukumuUko vizuri sana mkuu,
Ni kweli mkuu, nami pia hupenda sema majukumu na hii mitandao taabu tupu.Nilikuwa napenda sana poems na novels mkuu mpaka leo napenda sana novels hasa za fiction ila ndiyo muda wa kusoma unakosa nshakuwa na majukumu
Kweli kabisa hata nikitaka kusoma siwezi concentrate nitajikuta nishazama JF mara nishaenda kwa Thoughty2 Youtube.Ni kweli mkuu, nami pia hupenda sema majukumu na hii mitandao taabu tupu.
acha uvivu vitu kama hivi mara moja moja soma tuKweli kabisa hata nikitaka kusoma siwezi concentrate nitajikuta nishazama JF mara nishaenda kwa Thoughty2 Youtube.
Kabla ya kudownloa IDM ikaniletea jina la file nikaghairi maana nilishaacha kusoma mambo ya namna hiiacha uvivu vitu kama hivi mara moja moja soma tu
hahahahahahaha unataka vya aina gani kiongozi? huwa nadownload watu wakihitaji nawauzia mara nyingi nafuta,kipya cha obama ushakisoma kinaitwa promised land?Kabla ya kudownloa IDM ikaniletea jina la file nikaghairi maana nilishaacha kusoma mambo ya namna hii
Dah sijasoma aisee kiongozi nimekuwa mvivu wa kusoma siku hizi, natazama sana documentary na channel za Youtube, na mara moja moja nasoma vitabu vya fiction stories tu. Vitabu vya Inspiration na Ujasiriamali sisomi kabisa.hahahahahahaha unataka vya aina gani kiongozi? huwa nadownload watu wakihitaji nawauzia mara nyingi nafuta,kipya cha obama ushakisoma kinaitwa promised land?