Msukuma wa dar
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,160
- 1,195
Natamani Dully aingie kwenye hizi tuzo kwa mwakani ktk kipengere cha Msanii Chipukizi kama alichoshinda Harmonize jana.Tena waingie Dully Sykes na T.I.D Mnyama ktk kipengere hicho huku Harmonize akishiriki vipengere vingne km Msanii bora WA East Africa nk..