Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna vitu vinatia hasira, yaani unaichoka gari ambayo mimi hata siijui. Naishia kuziona tu barabarani[emoji24][emoji24][emoji24]
Nimeshangaa unavyojikana.Haha unanicheka Au?
Na kalivyo kafupi hata hiyo anapanda huku kasimama.Acha tu; nshomile anataka gari la kupanda huku kasimama
Anataka aturingishie guu lake juu ya pradoNa kalivyo kafupi hata hiyo anapanda huku kasimama.
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Nimetamani ingekuwa kweliNimeshangaa unavyojikana.
Unaiuza bei ganiWapendwa natamani kubadilisha gari, hii nilonayo (Toyota Cami) simply nimeichoka japo haina shida yoyote. Natamani ku-upgrade nipate Prado TX diesel engine au Toyota surf new model.
Yard gani naweza kuwapa hii cami yangu kisha nikaongeza na cash juu wanipe Prado au Surf? Mawazo yenu plz
Haha umenikumbusha kutafuta ushirikianoUmeona eeh. Huyu si wa level yetu, tunatafuta tu ushirikiano kwake ila siyo mwenzetu kabisa
Kibiriti gani tena au na wewe umechanganya ID? Wewe nipe tu banaHahaaa kwa kweli, manake unaniabisha na kile kibiriti chako[emoji87] [emoji87]
Hahaaa umenikumbusha mbali sista, yaan niliwahiga kujisemea moyoni, magari yote haya barabarani mi sina hata tairi, loh[emoji15] [emoji15]Kuna vitu vinatia hasira, yaani unaichoka gari ambayo mimi hata siijui. Naishia kuziona tu barabarani[emoji24][emoji24][emoji24]
Weee mi bonge la HB usipime sista, teh!!Na kalivyo kafupi hata hiyo anapanda huku kasimama.
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Weee kipensi day ya Yanga watu walinikoma, yaan guu guu halafu HB