Natamani kubeba mimba niwe mwanaume wa kwanza Afrika

Rest in peace. Amen. 🙏
 
Ww upuuzi huu upuuzi kabisa

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
. Kama ulikuwa hutak kuwa mwanaume si ungesema
 
Nadhani huwa ukisikia wanapata raha wakifikishwa kileleni (kukojozwa) na wewe unatamani.
Inasikitisha sana kuwepo wanaume wa aina kama yako.
Eeh Mungu baba wa Rehema zote tufanyie wepesi sie waja wako... Hii dunia imechoka sana
 
Unasemaaa...!! Au basi tu
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]

 
[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827]

 
Eti
 
Bila shaka mtoto tayari alishapatikana na ukavunja rekodi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…