Natamani kubeba mimba niwe mwanaume wa kwanza Afrika

Natamani kubeba mimba niwe mwanaume wa kwanza Afrika

Sorry, kwa dalili hii mpaka sasa huna marinda tena
 
Ndo maana wakaniambia kuwa Mungu si Athuman. Na mwezi huu mtukufu hivi mawazo ka haya hutokea wapi?? Umeshawatukana wazazi wako mpaka sasa hawasikilizi tena uchuro wako. Umeamua kumtukana Mungu kuwa mbegu unazomiminiwa kila siku na hao wazibua mitaro unatamani ati moja ingejitungisha huko huko nawe usikie wanavyojisikia ? Wadhani wao huwa wanajikuta tu imetunga?? Ushenzi ka huu jf ingefaa wakupige ban miaka. Unautukana uumbaji.
 
NImetoke kuvutiwa sana na ubebaji wa mimba kwa wanawake natamani vile vitumbo vinapo tangulia mbele najisikia furaha sana.

pia sichoki kuwaangalia wanawake wajawazito bilashaka wananipa furaha moyoni na machoni, nimefikia hatua nami kutaman nibebe mimba kama wao. moyo unanisukuma kufanya hivyo ili pia nivunje rekodi ya africa, nabado napambana ili siku moja nilete kiumbe duniani.
God forbid...!
 
Ndo maana wakaniambia kuwa Mungu si Athuman. Na mwezi huu mtukufu hivi mawazo ka haya hutokea wapi?? Umeshawatukana wazazi wako mpaka sasa hawasikilizi tena uchuro wako. Umeamua kumtukana Mungu kuwa mbegu unazomiminiwa kila siku na hao wazibua mitaro unatamani ati moja ingejitungisha huko huko nawe usikie wanavyojisikia ? Wadhani wao huwa wanajikuta tu imetunga?? Ushenzi ka huu jf ingefaa wakupige ban miaka. Unautukana uumbaji.
Mkuu punguza povu basi
 
Nakojooooooaaaaaaaaaaaaaa nakojooooooaaaaaaaaaaaaaa wanaume jf wapo 20 tu wallah hapo hatuhesabu mods wengi ni wanawake tu mambo ya kikee
Kaka beba mimba uwe maarufu ututangaze Tanzania
 
hakika anahitaji maombi huyu, sio bure





Hii ni dalili mbaya sana kwa kijana wa kiume, maana hapo umeshindwa tu kusema wazi kwamba unatamani kupumuliwa kisogoni huku ukiwa umepiga magoti na kifua umekilaza kwa mbele.
Yaani wewe unatamani hata ukuwe na matiti/manyonyo.....
Nawahurumia sana wazazi wako kwa hasara walio ipata kwa kukuzaa, na bora hata wangekupigaga nyeto tu ukapotelea bafuni na maji, kama sio chooni na kimba.
 
yani mim nimeshindwa hata sjui nisemeje, atakua na tatizo la saikolojia,
au malezi ya kukaa na dada zake yame muathuri sana,
 
Nimechungulia kidogo profile yako
Screenshot_20180517-210103.jpg
Screenshot_20180517-205900.jpg
 
nashangaa sana hivi kumbe jf tusha vamiwa na watu wa dizain hii
 
Back
Top Bottom