Natamani kubeba mimba niwe mwanaume wa kwanza Afrika

Sorry, kwa dalili hii mpaka sasa huna marinda tena
 
Ndo maana wakaniambia kuwa Mungu si Athuman. Na mwezi huu mtukufu hivi mawazo ka haya hutokea wapi?? Umeshawatukana wazazi wako mpaka sasa hawasikilizi tena uchuro wako. Umeamua kumtukana Mungu kuwa mbegu unazomiminiwa kila siku na hao wazibua mitaro unatamani ati moja ingejitungisha huko huko nawe usikie wanavyojisikia ? Wadhani wao huwa wanajikuta tu imetunga?? Ushenzi ka huu jf ingefaa wakupige ban miaka. Unautukana uumbaji.
 
God forbid...!
 
Mkuu punguza povu basi
 
Nakojooooooaaaaaaaaaaaaaa nakojooooooaaaaaaaaaaaaaa wanaume jf wapo 20 tu wallah hapo hatuhesabu mods wengi ni wanawake tu mambo ya kikee
Kaka beba mimba uwe maarufu ututangaze Tanzania
 
hakika anahitaji maombi huyu, sio bure





 
yani mim nimeshindwa hata sjui nisemeje, atakua na tatizo la saikolojia,
au malezi ya kukaa na dada zake yame muathuri sana,
 
nashangaa sana hivi kumbe jf tusha vamiwa na watu wa dizain hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…