Natamani kubeba mimba niwe mwanaume wa kwanza Afrika

Natamani kubeba mimba niwe mwanaume wa kwanza Afrika

Yaani Kumbe kuna nyuzi za ajabu namna hii ziliwahi kuanzishwa humu, asee!

Yaani hata nimeshindwa kushangaa.
 
Huyu jamaa ana tatizo kubwa tu....hii sio hali ya kawaida
 
NImetoke kuvutiwa sana na ubebaji wa mimba kwa wanawake natamani vile vitumbo vinapo tangulia mbele najisikia furaha sana.

pia sichoki kuwaangalia wanawake wajawazito bilashaka wananipa furaha moyoni na machoni, nimefikia hatua nami kutaman nibebe mimba kama wao. moyo unanisukuma kufanya hivyo ili pia nivunje rekodi ya africa, nabado napambana ili siku moja nilete kiumbe duniani.
Kweli wanaume OG wanapotea duniani! Huko dunia ya kwanza tumeyasikia wakitamani wawe wanawake na kupelekewa moto! Ni shida..🥲😭🤬
 
NImetoke kuvutiwa sana na ubebaji wa mimba kwa wanawake natamani vile vitumbo vinapo tangulia mbele najisikia furaha sana.

pia sichoki kuwaangalia wanawake wajawazito bilashaka wananipa furaha moyoni na machoni, nimefikia hatua nami kutaman nibebe mimba kama wao. moyo unanisukuma kufanya hivyo ili pia nivunje rekodi ya africa, nabado napambana ili siku moja nilete kiumbe duniani.
Si uko Bongo, mbona kuna wanaume wapenda waume wenzao hapo......hujaanza kushughulikiwa lakini?
 
Back
Top Bottom