Natamani kujua kinachoendelea Jangwani Sea Breeze

Nastic girl with profound
 
We ndo ulete picha ya kweli iliyopigwa angle zote
 
Povu la mwendo kasi
 
WATU WACHACHE SANA HATA WA DARASA KULE BABATI WAMEZIDI
Inaa kwa usiku mmoja umeudhuria shoo mbili mikoa miwili tofauti?? [emoji15] [emoji15]

Umehudhuria shoo ya jangwani and at the same time umehudhuria babati??

Kama sivyo kinachokufanya uwe mwepesi kuamini na kusifia na kugalagala ukiona picha za babati ni nini ilhali ukionyeshwa picha za jangwani huamini??

Daahh mko desperate aisee.. [emoji17]


# WCB # WinneraCycle
 
Kama duniani kuna wazee wanajutia siku waliyopiga bao wakatunga mimba za watoto wao flanflan bado mzee malechela analaani siku hiyo bao la huyu kijana wake....fuc$#@k the day he was born a bastard
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ila kweli hata mimi huwa namfikiliaga sana huyu lemetuz kwa umri alaiokua nao,,hvi kanza ana matoto kweli huyu
 
Umenena Mkuu! Huu mwaka wa tatu sasa magazeti uchwara yanaandika utaniri feki "anguko la diamond limefika" lakini jamaa daily anapiga hatua elfu kwenda mbele..
 
My country Tanzania. Tunachangamoto sana. Yaani siye furaha yetu MTU aharibikiwe au akose. Eti imebuma. Hongera diamond kujaza watu zaidi ya elfu kumi kwa 30, na kilo 1 siyo masihara...
Najua watani zenu upande wa pili watakuwa wamezima simu.
Kwa ukumb gani wenye uwezo wa kujaza watu elf kumi hata watu mia 2 hapo wakutafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…