Teh teh pole sana mkuu baaasa ya matarajio yako kufeli nenda kaombe tena maana nyomi la jana si mchezo kwa kiingilio cha 30,000 na 100,000 jangwani ilitapika.Hebu weka iliyokaa wima acha janja-janja
Punguza jazba weka picha bila ku-crop
Masikin wa fikra huyu!
Hope ataiona
Kama nimekukera pole Nifah. But jitahidi kuwa na high reason capacity..juzi nilishauri kuwe na vetting ya memba humu. Ushabiki na chuki usikufanye ukawe kituko kabsa.Akili zangu unataka uzielewe wewe kama nani?Zikusaidie nini?
IQ yangu ikiwa ndogo wewe una hasara gani?
Sawa sina exposure, wewe inakuhusu nini?
Mimi ambaye akili zangu huzielewi,IQ ndogo,sina exposure unanifuatilia...huoni kama wewe ndio hujielewi,IQ ndogo na huna exposure kwa kumfuatilia unayesema ana IQ ndogo?
Ungekuwa na akili kubwa ungejali kuhusu mtu usiyemjua?
Idiot
We mtu nmejikuta nakufurahia kwa jinsi ulivyo mjibu huyu bwege.ungekua karibu ungekuja moja moto moja baridiInaa kwa usiku mmoja umeudhuria shoo mbili mikoa miwili tofauti?? [emoji15] [emoji15]
Umehudhuria shoo ya jangwani and at the same time umehudhuria babati??
Kama sivyo kinachokufanya uwe mwepesi kuamini na kusifia na kugalagala ukiona picha za babati ni nini ilhali ukionyeshwa picha za jangwani huamini??
Daahh mko desperate aisee.. [emoji17]
# WCB # WinneraCycle
Ulihudhuria show hiyo au unaongozwa na hisiaTukiongea ukweli
Diamond alijutahidi ila hakujaza uwanja ule kuanzia stand ya wale jamaa wa kamera palikuwa wazi hapakuwa na watu
Mbele watu walikuwepo wengi
Picha zilichukuliwa upande wa hao watu wengi na ndio ilivyo hata kama show ilikuwa na watu wachache ila bado Diamond alifanya vizuri
ukiangalia conments zake za nyuma huhangaiki kumjibu mkuuUlihudhuria show hiyo au unaongozwa na hisia
Ulitaka wote waje hapo?kwa jiji la dar lenye watu zaidi ya milioni 5...hao ni wachache sana
Hebu weka iliyokaa wima acha janja-janja
Utakuwa mjamzito wwKwa haraka-haraka hao ni watu 200 tu [emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15]
We jamaa unamchukulia Poa lemutuz .pole na umaskin wakoMasikin wa fikra huyu!
anaishia kupiga nao picha tunakula wengine
Ulikuwepo?Tukiongea ukweli
Diamond alijutahidi ila hakujaza uwanja ule kuanzia stand ya wale jamaa wa kamera palikuwa wazi hapakuwa na watu
Mbele watu walikuwepo wengi
Picha zilichukuliwa upande wa hao watu wengi na ndio ilivyo hata kama show ilikuwa na watu wachache ila bado Diamond alifanya vizuri
Mbona unahangaika sana kuu kulazimisha hakujaza tatizo nini?Tukiongea ukweli
Diamond alijutahidi ila hakujaza uwanja ule kuanzia stand ya wale jamaa wa kamera palikuwa wazi hapakuwa na watu
Mbele watu walikuwepo wengi
Picha zilichukuliwa upande wa hao watu wengi na ndio ilivyo hata kama show ilikuwa na watu wachache ila bado Diamond alifanya vizuri