supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
Yako?[emoji12]
Uringe [emoji108]
Nimezisoma hizi post kichwa kichwa nikajua ni the bold[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani!
[emoji23][emoji23]Kama duniani kuna wazee wanajutia siku waliyopiga bao wakatunga mimba za watoto wao flanflan bado mzee malechela analaani siku hiyo bao la huyu kijana wake....fuc$#@k the day he was born a bastard
Sista naona speed 120 mpaka kwenye kona.Jamani vepeeee huko?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jamanihilo tisheti la lemutuz ukilichana kitambaa chake unaweza kushona suruali zangu 10.
Kwa wafanyabiashara ni jambo la kawaidaNaona leo nshomile anakula za uso,ila Diamond nahisi alishakunja chake,mwanzo wa figisu huu.
PICHA 10: Kinachoendelea kutoka Wasafi Beach Party ya Diamond Platnumz - millardayo.com
Mbona ni show hii tu jamani?Watu wanakula burudani kwanza mda huu.. Subirini
Hahhaaah yaani jamaa kama mtoto.!Kama duniani kuna wazee wanajutia siku waliyopiga bao wakatunga mimba za watoto wao flanflan bado mzee malechela analaani siku hiyo bao la huyu kijana wake....fuc$#@k the day he was born a bastard
Imeandikwa mwanamke atawaacha wazazi wake.......
Ingia Millard ayo ryt now [emoji35]Mbona ni show hii tu jamani?
Hapana babe,naona picha ziko jikoni zinapikwa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Point Mkuu! Kiba dizaini yake ya kuimba live haina tofauti na Akudo..alikiba akiimba live kila wimbo unakuwa bolingo kama za twanga pepeta! Live banda my .......
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimezisoma hizi post kichwa kichwa nikajua ni the bold[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Si nikaona emoji za kidole juu[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] ikabidi nisome neno kwa neno, ndo nikajua ni wewe mkuu.
--sio mbaya lakini avatar iko poa