Natamani kujua kinachoendelea Jangwani Sea Breeze

Natamani kujua kinachoendelea Jangwani Sea Breeze

Yako?[emoji12]
Uringe [emoji108]

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani!
Nimezisoma hizi post kichwa kichwa nikajua ni the bold[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Si nikaona emoji za kidole juu[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] ikabidi nisome neno kwa neno, ndo nikajua ni wewe mkuu.
--sio mbaya lakini avatar iko poa
 
Kama duniani kuna wazee wanajutia siku waliyopiga bao wakatunga mimba za watoto wao flanflan bado mzee malechela analaani siku hiyo bao la huyu kijana wake....fuc$#@k the day he was born a bastard
[emoji23][emoji23]
 
Kweli mambo ni magumu.mpaka muda huu ni saa nne na robo usiku hakuna picha ya msanii yeyote wa dabiliyusibi akuwa jukwaani?.Huku ni kupatwa kwa jangwani see breeze.Kesho utasikia eti show ilikuwa amazing eti hatubahatishi[emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
5a58378e342ea4abedf60da24a781e7f.jpg
 
Naanza kuwa na wasiwasi na hili tukio la kitaifa la wasafi beach party itakuwa mashabiki wamekosa na wachache waliopo wamenunuliwa
 
Kama duniani kuna wazee wanajutia siku waliyopiga bao wakatunga mimba za watoto wao flanflan bado mzee malechela analaani siku hiyo bao la huyu kijana wake....fuc$#@k the day he was born a bastard
Hahhaaah yaani jamaa kama mtoto.!
 
KinachoEndelea Jangwani Si kitu cha Kawaida kwa Kiingilio Cha Laki Moja nA Kwa 30 kwa nyomi lile Shikamoo diamond Samora kesho hapotoshi
 
Nimezisoma hizi post kichwa kichwa nikajua ni the bold[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Si nikaona emoji za kidole juu[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] ikabidi nisome neno kwa neno, ndo nikajua ni wewe mkuu.
--sio mbaya lakini avatar iko poa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom