Lkn sio kuweka legacy kwa kufanya Biashara haramu na kuumiza mamia ya vijana
Ana bahati alishtuka mapema akaacha
Kwani wengi huwa hawaachi
We ndo unamjua Sasa na mie niliambiwa hvyo hvyoLa kwanza kumbuka hakutoka familia ya kimasikini baba yake Alikua transporter mkubwa mtu Zingizi namjua na familia yao naijua tumekaa wote Kariakoo enzi hizo.. vipodozi kuanza alipata kuaminiwa na kampung kubwa ya vipodozi SA huko wakampa kwanza kama mali kauli mizigo mikubwa tu na akawa muaminifu na kumbuka Huyu ni supplier wa Tanzania nzima na ni muuzaji wa jumla tu wa vipodozi vya clear na aina tofauti tofauti za bodyspray ni yeye tu ndio alikua akileta na alikua akiuza na nchi za jirani supplier ni yeye tu
Kabisaa yaani maana kuna wanaokufa hawajatubuSasa huoni kuwa ni mtu mwema maana alijua anafanya mbaya a kaacha na kutubu na kumrudia Muumba wake.
Mpaka hapa kaka kubali tu ni mtu mwema sana.
Ndugu, marehemu alikuwa muislamu, muislamu anapofariki huwa yanatajwa mazuri yake, mabaya yake anasitiriwa.Mimi sio mtata Mkuu wala sina chuki yeyote
Ila ukweli usemwe, huyo ni binadamu wa kawaida km sisi
Sasa mnapoficha yale mabaya yake mnakusudia nini?
Hata kama unaswalia msikiti wake, jua tu mwamba alikuwa monster
Na wala sio vipodozi
Lkn sio kuweka legacy kwa kufanya Biashara haramu na kuumiza mamia ya vijana
Ana bahati alishtuka mapema akaacha
Kwani wengi huwa hawaachi
Nahisi ni harun ypo na kiyungi yule bongeKuna mtoto wa kaka yake/mdogo wake anaitwa Rama naona anauza sana uso na jux kutwa yuko china...
Naona bwana mdogo kayapatia maisha hasa, hapa ngada haijahusika kweli mkuu..
Kama ni kweli alifanya biashara hiyo na akaacha kisha akafanya toba kwa Mola wake, akawa mtu mwema kwa kuwasaidia watu, basi huyu ni mfano wa kuigwa kwani amekuwa na mwisho mwema, wangapi wamedumu kwenye madhambi hadi mauti yamewakuta?
Tuombe mwisho mwema kwani wapo waliodumu ktk mema lakini mwisho wakatumbukia ktk maasi na mauti kuwakuta, na wapo waliodumu ktk maasi mwisho wakatubu na kuachana na maasi hayo na kuwa waja wema na hatimaye kifo kimewakuta wakiwa waja wema.
Weka ushahidi!Jamaa kaua sana vijana kwa biashara yake ya madawa ya kulevya
Huna lolote ki-ma weeMkuu nimeandika kidogo tu ninayoyafahamu
Wadau wake wamenishambulia kama mpira wa kona
Wewe ni mtu mzima Mkuu jiongeze
Kumsema vibaya humu kutawafanya wanaosali kwenye msikiti aliojenga wajisikie vibaya
Acha yapite
mrangi unajua na mpakanjia alikua anauza vipodozi afu kundi la zingizi?
Hawezi elewa huyu mnaafiki na mwenye hasadi
sawa *bwana kujua*Waache wanajifanya wanajua kila kitu
We una husda mpaka kwa marehem?Mkuu ukiniita mimi mnafki nitapungukiwa nini?
Kama alikuwa zee la unga nisiseme?
Kuwapa msaada nyie haimanishi tusiseme tabia zake
Usitafute matatizo kama matatizo hayajakutafuta!Mkuu ukiniita mimi mnafki nitapungukiwa nini?
Kama alikuwa zee la unga nisiseme?
Kuwapa msaada nyie haimanishi tusiseme tabia zake