Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,968
Ha ha ha aha huyu ndugu yetu nae tutamuonyesha tu utamu wa pombeKaka acha ufisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha aha huyu ndugu yetu nae tutamuonyesha tu utamu wa pombeKaka acha ufisi
Kwani hujaliwa sana? mbona wewe hata maandishi yako tu yanaonesha umeshaliwa sanaSio kweli bwana. Ingekue hivyo kina mimi tungeshaliwa sana
Kajitoa JF baada ya kumpata nanilihu nini![emoji4][emoji4][emoji4]Hayupo kajitoa jf
Hahahahaaa. Huyu maswali yake atuulize siku anakunywa st anna. Saa hizi asituchosheNimechoka dada yaani nalewa kabla sijanywa beer jamani
hii pombe bila kula tunakupoteza mazimaaaaaaBalimi kiboko nshaionja nilipiga tatu nanilikuwa sijala cha mchana nilidata.
Kajitoa JF baada ya kumpata nanilihu nini![emoji4][emoji4][emoji4]
Na kweli asituchoshe wala tusichoshaneHahahahaaa. Huyu maswali yake atuulize siku anakunywa st anna. Saa hizi asituchoshe
Yani humu wachangiaji wote wazee wa maji...hahaha hapanifai hapa,ukiweka uzi wa maombi unitag[emoji23] [emoji23][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji3][emoji3]waweza lewa
Eeeh. Sema kama unapenda mziki utaaibika. Mimi inanikeraga hapo tu nikilewa halafu kuna mziki pembeni [emoji23][emoji23][emoji6][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]kumbeeee
Zile safari ndogo ni juice eeehUzi umekaa kileviii hatari
Kwa walokole tupite pembeni tu tukisemaa "aiseeee"
itabidi nikununulie belaleeeeeeeee ndio uanze nayo[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]ze duduz....
Si nimecha toka jana [emoji23] [emoji23] [emoji23]Zile safari ndogo ni juice eeeh
Hahahahaaa. Kuna weekend nimeanza kunywa saa 9. Huyo mnunua pombe alikua kama anatukomoa yani. Nimekunywa weee mpaka inafika saa tatu tumbo limejaa sisikii kitu. Nikanywa maji nikabeba pochi nikawaambia nilikuwepo naona najichosha kwenda chooni halafu sijisikii kuyumba.Ukianza Serengeti light saa saba baada ya nyama choma..
Ikifika saa NNE ukala mchemsho ukaingia kucheki live bend unafuta cret moja.