Natamani kujua utamu wa pombe!!!

Natamani kujua utamu wa pombe!!!

Nyegeeeee;[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23]
Sema hata mimi nasumbua sana nikilewa. [emoji23][emoji23][emoji23]. Juzi nimelewa nikakutana na rafiki angu eti kaja gf wake ananiambia gf wake mkorofi niseme mi cuzn yake. Kuondoka nikamtumia message nikamwambia kwa gf yupi kwanza wa kawaida sanaa. Wallah yule kaka sijui kanuna [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Eeeh. Sema kama unapenda mziki utaaibika. Mimi inanikeraga hapo tu nikilewa halafu kuna mziki pembeni [emoji23][emoji23]
Ndo nachooogopa miye hicho!maana napenda mziki mbayaa Mara paaap wameweka nibebe ya Aslay ntabebwa miye ujue[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom