Natamani kujua utamu wa pombe!!!

[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]anajisifu anakunywa eti

Huyo mkaka type yangu bora nisinywe kabisaa!
Nibaki na maji yangu
Yani huyo nae nne tu analewa. Kuna mkaka anakunywa sita tu ila atalewa kama kanywa bia 15.
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23]loooh!hapo midadi ndo inapanda!miye napenda anaekunywa kuanzia 10 hivi
Nne ndio naanza kulewa nakunywa mpka 7
 
Anhaaa. Nikajua nne tu basi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hivi siku ile tulikunywa ngapi? Maana nilikua naona zinaingia ma kutoka tu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ukute saba ndo alikunywa
 

Madhara yake hayana tofauti sana na yale ya sumu, tofauti tu ni kwamba ukinywa sumu unakufa palepale, wewe peke yako lakini madhara ya pombe ni kukuua kwanza wewe pamoja na mafanikio ya familia yako, na possibly jamii inayokuzunguka!
 
Madhara yake hayana tofauti sana na yale ya sumu, tofauti tu ni kwamba ukinywa sumu unakufa palepale, wewe peke yako lakini madhara ya pombe ni kukuua kwanza wewe pamoja na mafanikio ya familia yako, na possibly jamii inayokuzunguka!
Ahsante ndugu!
Noted!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…