[emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]kwani ukinywa akili inawaza nini? Au kichwa kinakua kizito eti?
Hebu fanya weekend unywe angalau moja uone usitake tukuhadithie kama ni sumu vile [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]kwani ukinywa akili inawaza nini? Au kichwa kinakua kizito eti?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tisa tu jamani?? [emoji23][emoji23][emoji23]
EeeenhHahahahahaaa. Ninae rafiki alishawahi kuhesabiwa alikunywa bia 45
Doh doh huyo kiboko kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahaaa. Ninae rafiki alishawahi kuhesabiwa alikunywa bia 45
Umeona eeenhHebu fanya weekend unywe angalau moja uone usitake tukuhadithie kama ni sumu vile [emoji23][emoji23][emoji23]
Najitambua kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji16][emoji23]duuhh!ukilewa si unajitambua lakini
Unapigia mashetani au [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] natamani nikuone ukilewaBasi 5 zile nililewa sana nafika naanza kusumbua kwenye simu kupiga
Sasa unalewa nini,akili,ubongo au?
Nipeni uzoefu nijipange miye nataka nijaribu kwanza!
Eeeh raha ya ngoma aingie achezeUmeona eeenh
Unapigia mashetani au [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] natamani nikuone ukilewa
unaanza na nusu chupa mdogomdogo mpaka chupa nzima mwishowe chupa na nusu baada ya wiki 2 unajikuta unapiga mpaka chupa mbili mwenyewe ukifika mwezi unaweza bugia nne mpaka tano kwa siku[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]ngoja nijipange sasa
Uzoefu twende bar uzoefu wa maandishi siutaki mimi [emoji23][emoji23][emoji23]Nipe uzoefu nachukua notisi sasa....!!!!