Natamani kujua utamu wa pombe!!!

Natamani kujua utamu wa pombe!!!

Ohooooo sawa mambo sihayo sasa kwaiyo hapo ni ndege wafananao ivo mnaruka pamoja.

Maana daaah mie nawivu kwa mwanamke wangu nahuwa nataka kujua her Schedule throughout the day, sometimes naogopa hii " baby leo natoka na Friendz naenda kupata bia kidogo"..hapo nibora muwe watumiaji wote,ili mwende pamoja eti eeehh?.

Aya hongera Chapombe Shunie wa Davet muonjaji....yan testing tuuu !!!


Sasa hakikisha unamvuta vuta jamaa japo mlingane ktk unywaji ... Maana naamin km ni muonjaji tu, kuna siku atakuambia Uache unywaji na uwe muonjaji, ... Sijui utakua willing kuitikia wito wake?? .

Shunie na Davet

mahondaw na Smart911


Mambo ni[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
Kaahh!kazi ipo
 
🙂 🙂 🙂 🙂 😀 😀 😀 jamani jamani pombe hizi anajua hizo akili mbilimbili
Kanuna niamini mimi. Kuna siku napo nililewa sijui nilimjibu nini akanuna week mbili. Juzi tena alijuta kunionyesha bby wake nahisi. [emoji23][emoji23][emoji23]. Najiuliza sijui nimtafute nione kama kanuna au nimuache tu
 
Back
Top Bottom