Natamani kumuona tena Nape Nnauye katika Uongozi wa juu

Natamani kumuona tena Nape Nnauye katika Uongozi wa juu

Mtondoli

Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
70
Reaction score
174
Niseme ukweli nape nnauye ni kiongozi, tangia akiwa na uongozi chamani, akawa waziri na mbunge nasikia watu wakimkandia sana lakini nape ninatamani kumuona tena katika uongozi wa juu.

Nape anafaa kabisa hata kuwa rais wa nchi hii, kapita mikononi mwa viongozi wengi mimi sijawahi kusikia Nape ana kashfa yoyote kibinafsi kama ufisadi, au rushwa namwamini Sana, hapa Kati Kati alishindwa kuendana na mfumo wa siasa wa mwendazake, hata ningekuwa mm ningeshindwa

Wakamuona mbaya na kumbe mfumo wa mchezo umebadilika kocha anataka kuabudiwa nape kashindwa katolewa mchezoni Yuko benchi, lakini bado ametulia kimya nakumbuka nape na kinana walivyoipigania CCM, wakati huo hali ni mbaya Lowasa anataka kuchukua nchi,nape alizunguka nchi nzima. Nape alinusurika hata kifo, akajijengea maadui wengi kwa kukipigania chama.

Niseme ukweli Nape ni shujaa anaeishi kama roboti, wamemng'oa meno, na kujaribu kumpa tuhuma mbalimbali kwa kumuita msaliti mim nasema wao ndio wamemsaliti nape, bado nikijana najua mungu atamwinua Tena, akina Mwigulu, Jafo, na wengine wote walikuwa majimboni mwao wakati nape akizunguka nchi nzima.

Kosa kubwa la Nape ni kumtukana lowasa, hilo namsihi Sana aende akamuombe radhi
 
Kama Taifa hatuna itikadi tubayoiamini kuwa tunapaswa kwenda hivi kwa kila ataekuja, ijapokuwa Katiba ya nchi inatutakaka tuwe wajamaa na chama chao pia lakini sasa kuwapata ao wajamaa ndiyo shida.
 
Niseme ukweli nape nnauye ni kiongozi, tangia akiwa na uongozi chamani, akawa waziri na mbunge nasikia watu wakimkandia sana lakini nape ninatamani kumuona tena katika uongozi wa juu.
Ebu jianangalie wewe........nape ni nani.......amuongoze nani......kwa nini wewe usiongoze.....ulofa
 
Niseme ukweli nape nnauye ni kiongozi, tangia akiwa na uongozi chamani, akawa waziri na mbunge nasikia watu wakimkandia sana lakini nape ninatamani kumuona tena katika uongozi wa juu.
Sawa bwana Nauye ila nikukumbushe tu hii nchi sio ya kifalme! Na tutaomba sana hiko kipengele kizingatiwe kwenye katiba mpya!

Maswala sijui kwa kuwa babaake flani alikipigania chama ndio mwanae apewe uwaziri ni mambo ya kichoko. All the influential positions wawekwe watu wapya ambao hawana affiliates na wastaafu kwa namna yeyote ile.

Hii biashara ya Karume raisi na mwanae raisi, Mwinyi raisi basi na Mwanae awe raisi ni mambo ya hovyo! Kama ni kuwafadhili wapeni hata ubalozi huko nje ila sio kujazana kwenye cabinet ya mawaziri au huku kwenye ukurugenzi na hata uraisi!
 
Nape mwepesi sana, kushikwa mkono ndo kunambeba tuu hakuna kingine!
 
Mimi ninachojua Nape ni mkurupukaji.
Hata wakat anazunguuka na kinana.
Mzee kinana alikua na.kazi ya kumtuliza nape.

Mana Nape.akitukana kinana anamwambia aache.matusi.
Hivyo,mtu mkulupukazi uongozi sio sehemu yake.
 
Back
Top Bottom