Natamani kumuona tena Nape Nnauye katika Uongozi wa juu


Sawa Nape tumekusikia pia natumaini Mama amekusikia pia
 
Viongozi wanaandaliwa hawazuki
Mazara ya kuzuka ndio hayo mnaona akina polepole kwenye media
 
Mimi ninachojua Nape ni mkurupukaji.
Hata wakat anazunguuka na kinana.
Mzee kinana alikua na.kazi ya kumtuliza nape.

Mana Nape.akitukana kinana anamwambia aache.matusi.
Hivyo,mtu mkulupukazi uongozi sio sehemu yake.
Anakurupuka kwenye nini
Tuanzie hapo
 
Aliyekutishia kukutolea bastola mwache acheze na karma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…