Habari wa Jf natumai ni wazima wa afya tele.poleni wagonjwa .
Miaka fulani nilikuwa naishi ktk mji fulani ,sasa cku moja nilikwenda kumtembelea rafiki yangu ambae alikuwa anamiliki duka la kuuza cm. Nilipofika pale wkt tuaendelea na mazungumzo akaja mdada fulani hivi yule mdada alikuwa anafahamiana na huju jamaa yangu na shida ya yule mdada ilikuwa
πππUlitaka na yeye ndoa yake ivunjike kama yako?
Nimeelewa, eti kasema, anataka ukamtembeleeAliyeelewa atupe summary tafadhali.
Anamaanisha kuwaMtoa mada,
Heading ya Uzi wako imenitoa knock out aisee[emoji2]View attachment 2136713
Sent using Jamii Forums mobile app