mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Habari wa Jf natumai ni wazima wa afya tele.poleni wagonjwa .
Miaka fulani nilikuwa naishi ktk mji fulani ,sasa cku moja nilikwenda kumtembelea rafiki yangu ambae alikuwa anamiliki duka la kuuza cm. Nilipofika pale wkt tuaendelea na mazungumzo akaja mdada fulani hivi yule mdada alikuwa anafahamiana na huju jamaa yangu na shida ya yule mdada ilikuwa
Huyu rafiki yako ataendelea kutafuta mwanamke sahihi hadi anaingia kaburini maana hajui hata anachokitaka