Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
- Thread starter
-
- #261
Umesema kwenye post yako #198 kwamba unatumia dabo line NETWORK... Nakushutumu kwa sababu huko nyumba hukuwa hivyo, umebadirika sana... SIJUI UKOJE...!!!
endelea tu kujiuliza my dia,hili pepo hata mimi mwenyewe silielewi
kumbe unapenda dushelele kubwa eee?!ngoz nyeuc imenponza aisee ningekupm fasta2!
hadithi ya kujihadithia mwenyewe,hapana chezea miss strong wewe
mbona yule Mange Kimambi amewavumilia hivyo,na mi ntawavumilia tu
Muzungu wa samaki samaki vipi tukuunganishie?
Ye hana ya mkataba nini?
Unaweza kuyavumilia hayo yote si mbay, ila wengi wanajuta na wanaona aibu kutoka matokeo yake wanarudi kwa wabantu kubanjuliwa na kuendelea na maisha na wazungu wenzao
Heee kupenda mzungu Heaven on earth unasema pepo?teh teh teh.......
mmh yule kalowea Tanzania bana,na mie visafari vya kwenda Ulaya navihitaji atii!!!!!!!!
wenyewe ilikuwa till death tear us apart.....,na mie nataka ya hivyo
kula kwa tindo Kwanini huungi mkono hoja yanguNo. Siungi mkono hoja.. 100%
Wazungu wanagegegda kila mahali penye tundu....Shauri yako,...lakini nimekwambia..
Okay kubwa umpate mwenye vile unavyotaka!!maana nao ni kama waafrika kasoro rangi tu
Anaendaga mbona sana tu ukiona kanogewa tz mpeleke kwa babu awe anatamani hm mara kwa mara
It's interesting that something so common and natural to me can be such a mystery to others
sijui kwanini