Natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!!!!

heeeee mazito kumbe na wee mzungu!!!!!!!!!!kumbe mdogo wangu ana ngekewa mzungu yumo humhumu Heaven on earth mama kuja pande hizi huyu hapa mzungu umpm(ila naongea huku roho inaniuma na kudunda juu,yaani nna uchungu mie,siamini kama mdogo wangu mpendwa grafani11 katoswa hivi hivi na uhandsome wake wote ule jamani daaaaaahhhh naumia jamani mwenzenu :A S cry: :A S cry: :A S cry: ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo!!!!anyway banah umeamua njoo umpm muzungu ya hpa jf)
Hata wazungu tuna marungu ya kufa mtu!!!!
 
Last edited by a moderator:
Huyo grafani11 atoswe tu au la asaini mkataba na hao wazungu kama ule wa wale wakenya
 

:kev::kev::kev:

Ngoja na mimi nikaoe mzungu maana hela ninayo .............!:wave::wave:
 
Mkuu Blue G, Malkia wangu heaven on earth namjua mwenyewe, kati ya maneno yake kumi atakayoongea ni vizuri ukachukua matano, matano mwachie mwenyewe. Hata hivyo hayo ni maamuzi ya kikao cha Halmashauri yetu wawili ambayo tulikaa na kuamua hivyo kutokana na hali ya uchumi kuyumba.
 
daaaahhhh sawa bwanah mi siongezi neno naomba nikae pembeni.
 

My king sasa kwanini ulinichunia hivyo wakati unajua nikiongea jambo matano chukua ma 5 Unaniachia

mwenyewe,mueleweshe vizuri dada Blue G mwambie sina nia mbaya na wewe hata kidogo
 
Last edited by a moderator:

nice poem,lakin figganigga kwanini unafikiria yote hayoo jamani.....,

mimi nipo tu wala usiwe na mashaka
 
Last edited by a moderator:
daaaahhhh sawa bwanah mi siongezi neno naomba nikae pembeni.

My king sasa kwanini ulinichunia hivyo wakati unajua nikiongea jambo matano chukua ma 5 Unaniachia

mwenyewe,mueleweshe vizuri dada Blue G mwambie sina nia mbaya na wewe hata kidogo
Amekwisha tuelewa Malkia wangu si unaona comment yake hapo juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…