Natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!!!!

Natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!!!!

heeeee mazito kumbe na wee mzungu!!!!!!!!!!kumbe mdogo wangu ana ngekewa mzungu yumo humhumu Heaven on earth mama kuja pande hizi huyu hapa mzungu umpm(ila naongea huku roho inaniuma na kudunda juu,yaani nna uchungu mie,siamini kama mdogo wangu mpendwa grafani11 katoswa hivi hivi na uhandsome wake wote ule jamani daaaaaahhhh naumia jamani mwenzenu :A S cry: :A S cry: :A S cry: ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo!!!!anyway banah umeamua njoo umpm muzungu ya hpa jf)
Hata wazungu tuna marungu ya kufa mtu!!!!
 
Last edited by a moderator:
heeeee mazito kumbe na wee mzungu!!!!!!!!!!kumbe mdogo wangu ana ngekewa mzungu yumo humhumu Heaven on earth mama kuja pande hizi huyu hapa mzungu umpm(ila naongea huku roho inaniuma na kudunda juu,yaani nna uchungu mie,siamini kama mdogo wangu mpendwa grafani11 katoswa hivi hivi na uhandsome wake wote ule jamani daaaaaahhhh naumia jamani mwenzenu :A S cry: :A S cry: :A S cry: ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo!!!!anyway banah umeamua njoo umpm muzungu ya hpa jf)
Huyo grafani11 atoswe tu au la asaini mkataba na hao wazungu kama ule wa wale wakenya
 
muke.gif
muke.gif


Jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.

watu wanasemaga wengi wao wana Vi.bamia ila mi nataka kuolewa

hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,

sijui Natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....

kama kuna mzungu yoyote hapa JF naakaona hili bandiko jamani
Heaven on earth natamani kuwa
muke.gif

:kev::kev::kev:

Ngoja na mimi nikaoe mzungu maana hela ninayo .............!:wave::wave:
 
heeeee mazito kumbe na wee mzungu!!!!!!!!!!kumbe mdogo wangu ana ngekewa mzungu yumo humhumu Heaven on earth mama kuja pande hizi huyu hapa mzungu umpm(ila naongea huku roho inaniuma na kudunda juu,yaani nna uchungu mie,siamini kama mdogo wangu mpendwa grafani11 katoswa hivi hivi na uhandsome wake wote ule jamani daaaaaahhhh naumia jamani mwenzenu :A S cry: :A S cry: :A S cry: ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo!!!!anyway banah umeamua njoo umpm muzungu ya hpa jf)
Mkuu Blue G, Malkia wangu heaven on earth namjua mwenyewe, kati ya maneno yake kumi atakayoongea ni vizuri ukachukua matano, matano mwachie mwenyewe. Hata hivyo hayo ni maamuzi ya kikao cha Halmashauri yetu wawili ambayo tulikaa na kuamua hivyo kutokana na hali ya uchumi kuyumba.
 
daaaahhhh sawa bwanah mi siongezi neno naomba nikae pembeni.
Mkuu Blue G, Malkia wangu heaven on earth namjua mwenyewe, kati ya maneno yake kumi atakayoongea ni vizuri ukachukua matano, matano mwachie mwenyewe. Hata hivyo hayo ni maamuzi ya kikao cha Halmashauri yetu wawili ambayo tulikaa na kuamua hivyo kutokana na hali ya uchumi kuyumba.
 
Mkuu Blue G, Malkia wangu heaven on earth namjua mwenyewe, kati ya maneno yake kumi atakayoongea ni vizuri ukachukua matano, matano mwachie mwenyewe. Hata hivyo hayo ni maamuzi ya kikao cha Halmashauri yetu wawili ambayo tulikaa na kuamua hivyo kutokana na hali ya uchumi kuyumba.

My king sasa kwanini ulinichunia hivyo wakati unajua nikiongea jambo matano chukua ma 5 Unaniachia

mwenyewe,mueleweshe vizuri dada Blue G mwambie sina nia mbaya na wewe hata kidogo
 
Last edited by a moderator:
"Don't worry about a thing,
'Cause every little thing gonna be all right.
Singin': "Don't worry about a thing,
'Cause every little thing gonna be all right!"

Rise up this mornin',
Smiled with the risin' sun,
Three little birds
Perch by my doorstep
Singin' sweet songs
Of melodies pure and true,
Sayin', ("This is my message to you-ou-ou:")

Singin': "Don't worry 'bout a thing,
'Cause every little thing gonna be all right."
Singin': "Don't worry (don't worry) 'bout a thing,
'Cause every little thing gonna be all right!"

Rise up this mornin',
Smiled with the risin' sun,
Three little birds
Perch by my doorstep
Singin' sweet songs
Of melodies pure and true,
Sayin', "This is my message to you-ou-ou:"

Singin': "Don't worry about a thing, worry about a thing, oh!
Every little thing gonna be all right. Don't worry!"
Singin': "Don't worry about a thing" - I won't worry!
"'Cause every little thing gonna be all right."

Singin': "Don't worry about a thing,
'Cause every little thing gonna be all right" - I won't worry!
Singin': "Don't worry about a thing,
'Cause every little thing gonna be all right."
Singin': "Don't worry about a thing, oh no!
'Cause every little thing gonna be all right! /fadeout/. Mia

nice poem,lakin figganigga kwanini unafikiria yote hayoo jamani.....,

mimi nipo tu wala usiwe na mashaka
 
Last edited by a moderator:
daaaahhhh sawa bwanah mi siongezi neno naomba nikae pembeni.

My king sasa kwanini ulinichunia hivyo wakati unajua nikiongea jambo matano chukua ma 5 Unaniachia

mwenyewe,mueleweshe vizuri dada Blue G mwambie sina nia mbaya na wewe hata kidogo
Amekwisha tuelewa Malkia wangu si unaona comment yake hapo juu.
 
Back
Top Bottom