Natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!!!!

Naskia wazungu wakioa mweusi chakwanza huwa ni kupiga Kabaang! So unaowajua wote wameolewa na wazungu wanavaa nepi maana marinda yote kushiney!

mmmh ila mbona hata wabongo wanapiga Kabang sana,mwingine niliachana nae kisa kudai Kabang
 
Habari za wazungu kuwa na mapenzi ya dhati mnazitoa wapi nyie?

Kwa kuwa wameshau kuwa uchoko umeanzia kwa Wazungu...

Ndoa za mikataba zimeanzia kwa Wazungu...

Kufanya mapenzi na wanyama Wazungu ndio vinara...

Mwisho, kama kweli wazungu pekee wangelikuwa na mapenzi ya dhati basi kwenye kamusi zao kusingelikuwa na maneno kama talaka etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…