..ila mi nataka kuolewa
hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....
Kazi sana kubadili mawazo ya mtu
kwa kuwa umeshaamua kupenda hivyo
nakutakia kila la kheri mwaya.
Uchagui rika, kwa sababu wabongo wengi sana wameolewa na wazungu vibabu.
Samahani, eti itakuwa kwa ndoa ya mkataba au style ipi?napenda kuzaa nao tu!
Na yule jamaa aliyekuzidi umri umeshampiga kibuti?
Ndio wepi hao? wana mapenzi ya kweli? Mi nataka mmoja.. Nitampataje?
kama unahisi siwajui niambie basi wakoje,
Ndio wepi hao? wana mapenzi ya kweli? Mi nataka mmoja.. Nitampataje?
Naskia wazungu wakioa mweusi chakwanza huwa ni kupiga Kabaang! So unaowajua wote wameolewa na wazungu wanavaa nepi maana marinda yote kushiney!
Habari za wazungu kuwa na mapenzi ya dhati mnazitoa wapi nyie?
christine mie nataka kuolewa kabisa yaan iwe till death tear us apart....
sijui ndio wanasemaga hivo
good luck
kuna wazungu wa unga, vipi humuogopi Mwakiembe?
Kuna huyu mzungu kichaa wa BSS sijui kama ana mke...embu jaribu bahati yako!