Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
![]()
![]()
Jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.
watu wanasemaga wengi wao wana Vi.bamia ila mi nataka kuolewa
hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,
sijui Natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....
kama kuna mzungu yoyote hapa JF naakaona hili bandiko jamani
Heaven on earth natamani kuwa![]()
All the best mwaya.najua virungu vya kiafrica bomba sana,ila safari hii nahitaaji mzungu mie
Ndio wepi hao? wana mapenzi ya kweli? Mi nataka mmoja.. Nitampataje?
Unajua, Simplicity hajaelewa ulipo sema account yako imehackiwa. Mi nmekuelewa kwamba anaye andika sio Heaven on earth ninaye mfahamu. Miahahaaa muache babe wangu figganigga katika hili najua hatakuwa na pingamizi
Mh!nilipewa sifa zao ham ikaniisha, ...japo sio wote bt wengi wao ni wachafuuuuu my dia
Samahani, eti itakuwa kwa ndoa ya mkataba au style ipi?
All the best mwaya.
Najua wanawake hampendi maswali
Lakini mnapoteza fursa ya kujua mambo mengi
Maswali ndo yametufikisha hapa tulipo leo
Kukubali jambo kirahisi ni ishara ya kuwa na tatizo la kufikiri
Lakini pia unaweza kujikuta unapelekwa porini kwa kutokuuliza unakopelekwa
Maisha yanakuwa bora kwa kujiuliza maswali
Lakini zaidi kwa kuuliza?????
Kwa kuwa wameshau kuwa uchoko umeanzia kwa Wazungu...
Ndoa za mikataba zimeanzia kwa Wazungu...
Kufanya mapenzi na wanyama Wazungu ndio vinara...
Mwisho, kama kweli wazungu pekee wangelikuwa na mapenzi ya dhati basi kwenye kamusi zao kusingelikuwa na maneno kama talaka etc
Unajua, Simplicity hajaelewa ulipo sema account yako imehackiwa. Mi nmekuelewa kwamba anaye andika sio Heaven on earth ninaye mfahamu. Mia
we tafuta mihela tu ......wenzio wanatulalamikaia eti ni wabaridiii!![]()
![]()
jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
Nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.
Watu wanasemaga wengi wao wana vi.bamia ila mi nataka kuolewa
hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,
sijui natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....
Kama kuna mzungu yoyote hapa jf naakaona hili bandiko jamani
heaven on earth natamani kuwa![]()
mmmh ila mbona hata wabongo wanapiga Kabang sana,mwingine niliachana nae kisa kudai Kabang
Mie tena nikuvunje moyo tena Heaven on earth akaaaaa.......vip dread ushaanza kufuga au unaenda kwa style gani?
Sema shost vibamia umesema hujali?....vifurushi vyao vya muda wa maongez kidogo kama nini (xtreeme pack) kama ulizoea mega boxi cha siku imekula kwako.
Kwetu wapo ndo najaribu kuangalizia yupi atafaa.....ulitaka wa umri gan?au mzunguuu tu wa umri wowote?