Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
- Thread starter
-
- #141
hahahaha, nenda kwa dhungu lako mwaya, achana na hawa wazee wa sound. lol. mie ntakuwa nakuja kukutembelea ulaya eeh.
wengi walidhania hivyo lakin daktari alisema kuwa am physically and mentally fit
Utakuwa unavunja miiko yako uliyojiwekeaujue nimetake option ya kuto kuolewa!
Hahahaha mkuu nyaningabu ,ana matatizo ya akili huyo dada
hapana kakosea ndio uje uandike post ya kijinga namna hii! ,hii post mtu akiisoma akimaliza anajua mawili 1.umelewa 2.una matatizo ya akili
hahaaa vyoote unavyo vinini,niorodheshee japo viwili tu
sa si hadi akufe,nikitangulia mimi nani atarithi hayo mafao
maswali yako ni mengi sana sidhani kama naweza kukujibu kwa leo
we jua kuwa tu natamani kuwa muke ya muzungu
Jiandae na o713
waache wawaze vyoyote tu,ila mi najijua tu
khaaa!
sa ndio nini kutumia akili ya necta wkati mi nilikuwa kwenye weekly test tu!
ah!
ht wabongo wanaopractice hii wapo!
..pia wazungu waadilifu wapo....go go heaven on earth
Utakuwa unavunja miiko yako uliyojiwekea
Hahaha....swali la papo kwa papo hili...lol
unaongea nini?
Ha,ha,ha,ha,haaaaaaa!!!!!!!!
Basi tumia ile ya stndard 7!!!!!!!
acha ushamba ww gegedio la mzungu halina flever kama gegedio la mubongo.
Nina uhakika unatania weye.....
You can't be serious Heaven on earth, lakini kama kweli unataka ''mweupe'', good luck...