eh bora umecheka
ulizidi uso wa mbudhi banaa!
sasa hapa ukiwa hivyo tuongee sasa!
ehe unasema wanawake hatupendi maswali?
Umehadithiwa na nani?Teh teh wanapenda kabang kama wamerogezewa.....!!!!
Umejaribu nini?
leo asubuhi nilitumia hii kitu :majani7::majani7: ya B'REAL,labda imechangia pia
Usijali MWANAUME hatakiwi kuchekacheka hovyo!
Yah!hampendi maswali sana nyie
Au unabisha?
Jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.
watu wanasemaga wengi wao wana Vi.bamia ila mi nataka kuolewa
hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,
sijui Natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....
kama kuna mzungu yoyote hapa JF naakaona hili bandiko jamani
Heaven on earth natamani kuwa
mbona mnawachukia wazungu jamani? Kwani sio watu?au hawastahili kuwa na watu tofauti!
Hayo matatizo waliyonayo ht waafrica wanayo jamani
Wengi wao hawajatahiriwa....Sasa sijui blowjob inakuwaje hapo?
Wengi wao hawajatahiriwa....Sasa sijui blowjob inakuwaje hapo?
yaani wananikatisha tamaa hawa watu mmhmmh
Kumsaidia tu eti wazungu wako km sisi choka mbaya mbaya,na wenye cash wachache..pia kumbuka ni watalamu wa kabang
Jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.
watu wanasemaga wengi wao wana Vi.bamia ila mi nataka kuolewa
hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,
sijui Natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....
kama kuna mzungu yoyote hapa JF naakaona hili bandiko jamani
Heaven on earth natamani kuwa
Blowjob itafanyika tu as far as na yeye anazama uvinza
acha ushamba ww gegedio la mzungu halina flever kama gegedio la mubongo.