Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
- Thread starter
- #21
Mzee wa Rula kama ni kweli naomba u click hiko kitufe cha PM hapo chiniAfadhali mimi muzungu zali la mentali limenidondokea!!
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa Rula kama ni kweli naomba u click hiko kitufe cha PM hapo chiniAfadhali mimi muzungu zali la mentali limenidondokea!!
teh teh ...samahani lkn,...napenda kuzaa nao tu!a bby gal hiv
teh teh teh teh uombe Mungu awe hafugi Mbwa.......akichoka siku anampa Mbwa wake nae afaidi, uko tayari???
Kuna huyu mzungu kichaa wa BSS sijui kama ana mke...embu jaribu bahati yako!
Basi mi jana kuna Post niliona ya Heaven on Earth akijibishana na jamaa flani nikajua tayari kitu hicho, hadi nikaahirisha nikijua ashachukuliwa, kumbe sasa hivi tena anatafata mzungu? Naona bado nafasi yangu haipo.. Em ngoja nisubiri roundnijayo nione nini jipya! Siku nikija bongo ntatafta nione umefikia wapi! Au labda kama utakua ushapelekwa kwingine na huyo Mzungu wa JF sijui..
hapa vipi msela wangu huyu...
![]()
![]()
![]()
Jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.
watu wanasemaga wengi wao wana Vi.bamia ila mi nataka kuolewa
hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,
sijui Natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....
Waburushi hamuwapendi jamaniiiii?wapo iringa kibao.......
najua virungu vya kiafrica bomba sana,ila safari hii nahitaaji mzungu mie
ah we naweee!Inaonekana una njaa ya kupendwa
Huwezi kumpata wa kukupenda
Jipende mwenyewe
Hiyo ndio dawa!!!!!!!
Tatizo lingine hili hapa
Hela??
Kuna mahali wa aina hii wanapatikana kwa wingi sana
Unaitwa sijui mataa gani ule........nimeusahau ngoja nikiukumbuka nitarudi na majibu!!!!!
Umesema unataka uolewe hivyo hivyo halafu unataka ukweli ili ufanyeje?
N yule jamaa aliyekuzidi umri umeshampiga kibuti?