Natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!!!!

Natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!!!!

Sheesh heaven on earth, u posted this on my behalf?

Me hata hela sitaki, I just want the skin the hair the smell 'they so smell different lol) and the accent.....
.:love::love:
omg.gif
bubbs kumbe am not alone nilidhani ni mie mwenyewe tu.....,
 
Last edited by a moderator:
muke.gif
muke.gif


Jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.

watu wanasemaga wengi wao wana Vi.bamia ila mi nataka kuolewa

hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,

sijui Natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....

kama kuna mzungu yoyote hapa JF naakaona hili bandiko jamani
Heaven on earth natamani kuwa
muke.gif




Unafikiri Natalia ana hamu tena....kaachwa kitambo kutokana na uzinzi wake.
 
Last edited by a moderator:
Ulishawahi "kutobolewa spika?" Manake hawa watu hawajali akitaka "kiboga" shurti umpatie ili upalilie penzi na kama ana Mbwa nae iko siku utaambiwa umgawie. Sikushauri baki na hizi za kata na tarafa zinakufaa zaidi.
 
"ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha" no wonder watu wanaendelea kuwa watumwa kwa mentality kama hizi. hivi hizi pesa ninyi hamuwezi kuzitafuta?.
 
Heaven on earth: kuanzia jana nimejiridhisha kwamba kuna mtu ame-hack account yako.Sio wewe.From Riz jana to Mzungu leo? Sio wewe aiseee ninayejua u mvaa shela mtarajiwa...!
Descartes huyu siyo heaven on earth,ameacha compyuta yake hapa ndio mimi natumia

ila kwa Ritz alikuwa yeye,
 
Last edited by a moderator:
Ulishawahi "kutobolewa spika?" Manake hawa watu hawajali akitaka koboga shurti umpatie ili upalilie penzi na kama ana Mbwa nae iko siku utaambiwa umgawie. Sikushauri baki na hizi ..........boo za kata zinakufaa zaidi

sijawahi kutobolewa spika,kwa hiyo hata yule mdada wa kuuule anatobolewa spika!!!!
 
"ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha" no wonder watu wanaendelea kuwa watumwa kwa mentality kama hizi. hivi hizi pesa ninyi hamuwezi kuzitafuta?.
Ruttashobolwa za kwangu nazitafuta na za huyo mzungu pia nazihitaji!!!!!!!

changu changu,chake changu
 
Last edited by a moderator:
Usiku mwema wajameni ngoja nikasake Mzungu mie and the sired is closed:closed_2:...

ila Heaven on earth Nawapenda wana JF aisee,
 
Last edited by a moderator:
Descartes huyu siyo heaven on earth,ameacha compyuta yake hapa ndio mimi natumia

ila kwa Ritz alikuwa yeye,
Heaven on earth😀aaa...sikutarajia kucheka.Nmechekaaa!Hapo umeshamsingizia shetani na mambo yake yote.Hapa leo sio yule mtarajiwa ila mtu anatumia tu kompyuta yake?Mimi hoiiiiii.....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom